Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuache pambana na mbu .. inzi.. mebde na kipindu pindu. Tuache tafuta mlo m1 kwa siku..Tuanze ugomv na marekan?Iwapo tukakorofishana na Mmarekani leo hii ,japo sio kipaumbele chetu je JWTZ ina mkakati wowote juu ya hii military base ya MANDA BAY iliyopo LAMU?
Vita ya UKRAINE Lazima itufukirishe.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Yaani watz huwa bado wana mawazo bado ya zile siasa za zamani, za kujipima za vita baridi kati ya Communist countries Vs Western countries ( so called mabeberu)... badala ya kukaa kimya na kuepusha kuanza kuwa na mawazo yenye chokochoko za kujitafutia matatizo huko mbeleni.... yaani bado tuna changamoto hadi za matundu ya vyoo mashuleni,ila bado mnataka kuanza fikiria kutaka kupimana ubavu na 'mabeberu'... kaazi kwelikweli.....Hamna ubavu wowote ule
Hivi hilo jina ulipewa na wazazi wako au ulijitambua mwenyewe kuwa ni mjinga?Iwapo tukakorofishana na Mmarekani leo hii ,japo sio kipaumbele chetu je JWTZ ina mkakati wowote juu ya hii military base ya MANDA BAY iliyopo LAMU?
Vita ya UKRAINE Lazima itufukirishe.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Kwa uelewa wako unadhani siasa hizo zimeshaisha?Yaani watz huwa bado wana mawazo yazile siasa za zamani, za kujipima za vita baridi kati ya Communist countries Vs Western countries ( so called mabeberu)... badala ya kukaa kimya kuepusha kuanza mawazo yenye chokochoko kujitafutia matatizo huko mbeleni.... yaani changamoto bado mna changamoto za matundu ya vyoo mnataka kuanza fikiria kutaka kupimana ubavu na 'mabeberu'... kaazi kwelikweli.....
Hivi hilo jina ulipewa na wazazi wako au ulijitambua mwenyewe kuwa ni mjinga?Iwapo tukakorofishana na Mmarekani leo hii ,japo sio kipaumbele chetu je JWTZ ina mkakati wowote juu ya hii military base ya MANDA BAY iliyopo LAMU?
Vita ya UKRAINE Lazima itufukirishe.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Basi wewe ni mpumbavu!nimeliandaa mwenyewe...una swali jingine?