Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Acha kabisa.Aisee mkuu Sanda Ali,hapo umeongea kitu kimoja adhimu sana watu wengi wanakwepa sana hizo discussion lakini ukweli ndio huo.Hilo jambo la CHEATING lipo karibia nyanja zote especially kwa hapa Tz.Na impact kubwa ya cheating huwa ni low quality and poor performance ambayo inaletelezea poor results.
Kila sector hapa Tz ina tatizo hilo ndio maana hatupigi hatua mbele ila tunapiga marktime tu..
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Ni hatari