Jeshi la Wananchi wa Tanzania linatazamaje Manda Bay yenye US military base?

Jeshi la Wananchi wa Tanzania linatazamaje Manda Bay yenye US military base?

Aisee mkuu Sanda Ali,hapo umeongea kitu kimoja adhimu sana watu wengi wanakwepa sana hizo discussion lakini ukweli ndio huo.Hilo jambo la CHEATING lipo karibia nyanja zote especially kwa hapa Tz.Na impact kubwa ya cheating huwa ni low quality and poor performance ambayo inaletelezea poor results.
Kila sector hapa Tz ina tatizo hilo ndio maana hatupigi hatua mbele ila tunapiga marktime tu..

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Acha kabisa.
Ni hatari
 
Mimi sijadharau bali nimeongea uhalisia.
Nimepiga kozi mbili za kijeshi.
Yaani cheating zipo sana jeshini.
Ndio maana mimi sio kila university graduate ninamuheshimu. Wengi wamefika mpaka university kwa janjajanja. The same kwenye majeshi yetu.
Hivi mtu anayetoa hela ili anunue nafasi jeshini unamweka kundi gani?
Ok.
Jambo jingine fikiria, Private wa Jeshi la wananchi anajua vitu vingapi?
- Anajua kutumia computer?
-Anajua kuendesha convoy za jeshi?
-Anajua kurusha drone za kivita?
-Anajua kuendesha pikipiki?.
Kwa nchi za wenzetu private lazima ajue vitu hivyo huku sisi si wote wanaojua hivyo
Tanzania Cha muhimu upate kazi, imagine jeshi leo nihangaika kufyatua matofali ndio miradi wanajisifia...

Unakutana afisa wa juu kabisa, Mimi upande wangu alikuwa Mbuge, namuulizia why Jeshi haliwekezi kwenye advanced technologies za kilimo, anajibu na Hawa makuruta watafanya Nini?, Hadi unaanza kujichokea.

Sisi Bado tuna jeshi la kale sana... Nadhani we need a program kubadili kabisa jeshi letu na kuweka kipindi Cha miaka kadhaa wanaoingia jeshi wote wawe na at least diploma
 
Tanzania Cha muhimu upate kazi, imagine jeshi leo nihangaika kufyatua matofali ndio miradi wanajisifia...

Unakutana afisa wa juu kabisa, Mimi upande wangu alikuwa Mbuge, namuulizia why Jeshi haliwekezi kwenye advanced technologies za kilimo, anajibu na Hawa makuruta watafanya Nini?, Hadi unaanza kujichokea.

Sisi Bado tuna jeshi la kale sana... Nadhani we need a program kubadili kabisa jeshi letu na kuweka kipindi Cha miaka kadhaa wanaoingia jeshi wote wawe na at least diploma
Yaani mpaka leo jeshi linaajiri darasa la saba
 
Muulizeni kwa nini mrusi wakati huu wa vita na Ukraine kaogopa ndege zake za vita kulipuliwa kahamishia Sudan zimepaki kibao kule
 
Yaani tuanze kumchunguza boss wetu, tutakula wap?...
Tukikorofishana na boss tutaomba msamaha yaishe, hio pia ni democracy
 
Iwapo tukakorofishana na Mmarekani leo hii, japo sio kipaumbele chetu, Je! JWTZ ina mkakati wowote juu ya hii military base ya MANDA BAY iliyopo LAMU?

Vita ya UKRAINE Lazima itufukirishe.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Akili ndogo wewe ...kakaliehotpot
 
Kuna manuwari zenye uwezo mkubwa kuliko kambi hiyo ndogo, manuwari hizo zinaitwa mji mdogo yaani askari 5,000 na ndani yake kuna zana nzito za kuanzisha vita popote duniani huku ndege zinaweza kutua na kupaa toka ktk manuwari hizo.




Bado kuna kambi kubwa ya kijeshi ya Marekani ambayo ipo eneo la Africa Mashariki kisiwani Diego Garcia.

As of August 2018, Diego Garcia is the only inhabited island of the BIOT; the population is composed of military personnel and supporting contractors.

Camp Justice Naval Base in Diego Garcia | MilitaryBases.com

Camp Justice is a United States Navy support facility located in the central Indian Ocean 1,909 miles off the eastern coast of Tanzania and 1,357 miles
Kuna project ya silaha nzito mno watu walikuwa wameihold. Ilkuwa ni watu wasiopungua wanne. Ili kuweza kujihami walipenda kila waendapo waende pamoja ili kuepuka mmoja wao asije akashikwa.

US alitambua hili, ofkoz jamaa nao ni bright mno, US alipambana kila namna aweze kuikamata hii Project lakini alidunda.

Ikaja Opportunity moja tu, wale watu walipanda ndege shirika la Malaysia. Unaikumbuka ile ndege ya Air Malaysia iliyopotea?

Ngoma ilitua Diego Garcia kwa mujibu taarifa za Intelijensia, US aliteka ile ndege na watu wooote, moja kwa moja ndege ikaenda mpaka Diego Garcia. When it comes to nationa threats and interests, US anaweza akafanya lolote lile. Rais wa Malaysia alizungumza hili kuwa CIA inajua ni wapi ndege ilipo so yeye hatotoa tena fedha za utafiti.

Kuna balozi wa Malaysia aliendaga Namibia, ilidaiwa kuna mabaki ya ndege ile, yule mwanadiplomasia baada ya kuona yale mabak, akalazimika asign ili mzigo utumwe Malaysia, siku ambayo anaenda kusign ili mabaki yasafirishwe, ndo siku hiyo hiyo akauwawa. Hapo Rais wa Malaysia akanyoosha mikono juu zaidi.

Hapo Diego Garcia ni pamoto mno, jamii inayoishi karibu na kisiwa hiki, inakiri kuona ndege kubwa mno ya abiria kuruka futi chache na kutokomea kisiwani hapo.
 
Iwapo tukakorofishana na Mmarekani leo hii, japo sio kipaumbele chetu, Je! JWTZ ina mkakati wowote juu ya hii military base ya MANDA BAY iliyopo LAMU?

Vita ya UKRAINE Lazima itufukirishe.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Marekani haiwezi kupigana vita na nchi kama Tanzania! Ile siyo nchi ya kibabe kama unavyodhani, ila tu ina damu ya kunguni.

Marekani imesaidia sana dunia hii kuliko taifa lolote lile baada ya vita ya dunia ya 2, lakini vile vile bado ndilo taifa linalochukiwa na mataifa mengi dunia kama hiyo siyo damu ya kunguni basi itakuwa ni nini. Urusi yenyewe ilipoporomoka mwaka 1992 ilisaidwa sana na Marekani kufikia hapo ilipo leo; yale mafuta yalichimbwa na ExxonMobil. Na hata China ilinyanyuliwa kutoka kwenye umaskini na marekani lakini leo wanawatunishia msuli.
 
When it comes to nationa threats and interests, US anaweza akafanya lolote lile.

Umeongezea pakubwa ktk kutuhabarisha kuhusu uwezo wa taifa hili kubwa kiuchumi na kiulinzi duniani.
 
Marekani haiwezi kupigana vita na nchi kama Tanzania! Ile siyo nchi ya kibabe kama unavyodhani, ila tu ina damu ya kunguni.

Marekani imesaidia sana dunia hii kuliko taifa lolote lile baada ya vita ya dunia ya 2, lakini vile vile bado ndilo taifa linalochukiwa na mataifa mengi dunia kama hiyo siyo damu ya kunguni basi itakuwa ni nini. Urusi yenyewe ilipoporomoka mwaka 1992 ilisaidwa sana na Marekani kufikia hapo ilipo leo; yale mafuta yalichimbwa na ExxonMobil. Na hata China ilinyanyuliwa kutoka kwenye umaskini na marekani lakini leo wanawatunishia msuli.
Inategemea jinsi unavyotafsiri vita ...tafsiri vita kwa muktadha wa sasa .
 
Inategemea jinsi unavyotafsiri vita ...tafsiri vita kwa muktadha wa sasa .
Swali nililosoma hapo juu linahusu vita ya kijeshi, ndiyo maana JWTZ ikahusishwa. Sasa kama unafikiria vita ya kicuhumi au vita ya kimtandao, hakuna haja ya kuzungumzia JWTZ.
 
Swali nililosoma hapo juu linahusu vita ya kijeshi, ndiyo maana JWTZ ikahusishwa. Sasa kama unafikiria vita ya kicuhumi au vita ya kimtandao, hakuna haja ya kuzungumzia JWTZ.
kwani JWTZ haitakiwi kuwa na kitengo cha vita ya kiuchumi?
 
Do we have a scientific and concrete document inayohoji na kuelezea uwepo wa base hii karibu kabisa na mipaka yetu?
mbona walikuja kufanya mazoezi ya pamoja na jeshi letu uliwahi uliza hili suala?
alivyokuja Obama tukapekuliwa hadi ila acha mengine
 
mbona walikuja kufanya mazoezi ya pamoja na jeshi letu uliwahi uliza hili suala?
alivyokuja Obama tukapekuliwa hadi ila acha mengine
sio mbaya kuendelea kuuliza kwa nia ya kukumbushana
 
kwani JWTZ haitakiwi kuwa na kitengo cha vita ya kiuchumi?
Inawezekana una tafsiri tofauti na maana ya vita ya kiuchumi. JWTZ hawawezi kuiliwekea taifa lololote la nje vikwazo vya kiuchumi, je kitengo hicho unachotaka wewe kitafanya kazi gani?
 
Inawezekana una tafsiri tofauti na maana ya vita ya kiuchumi. JWTZ hawawezi kuiliwekea taifa lololote la nje vikwazo vya kiuchumi, je kitengo hicho unachotaka wewe kitafanya kazi gani?
kwa nini umeenda kwenye vikwazo tu?
 
Back
Top Bottom