little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 1,870
- 3,589
Bila shaka..Mkuu ile ya Hamas ni advanced military strategy ambayo hata Israel hawakuigikiria.
Hii inamaana basic strategical defence policy ya Israel imekuwa shattered.
Back to the drawing board.
Udini upo. Pale ni vita dhidi ya uislamStupid fool.
usiigize udini kwenye makosa ya binadamu wenyewe.
JINGA
NakaziaKipaumbele kikubwa kwa Sasa kwa kila taasisi na vyombo vya usalama ni kulinda Watawala na kula tu.
HAKUNA jipya
Na Kubeba Korosho Huko MtwaraWenzetu wanafanya hadi ujasusi wa kiuchumi
Sisi jeshi letu linalinda kura za ccm
Pathetic country
Si walisema Tanzania inanjeshi bora na imara sasa unataka wajifunze nini tena wakati wako imara, mfano angalia wanavyojua kuvunja tofali na kufanya maonyesho kwenye sikukuu za kitaifaView attachment 2788069
View attachment 2788073
Kati ya taasisi nyeti ninazoziheshimu na kuzienzi ni jeshi letu la JWTZ.
Limeonyesha ukomavu wake kwa miaka mingi sana hasa wakati wa vita ya ukombozi.
Ilipoingia 1978, November/December hadi 1979,jeshi lilipitia "baptism of fire" wakati wa Vita ya Kagera.
Kimsingi baada ya vita ile ikadhihirika kuwa Defence Policy iko safi na inafanya kazi katika mazingira ya wakati ule.
Najua leo jeshi liko complex kuliko wakati huo na lina vyuo vyake ambavyo ni Think Tanks, kama National Defence College pale Kunduchi.
Sasa leo kuna vita hivi vya Ukraine na vile vile Israel na Hamas.
Mbinu zilizo jitokeza na kuwa very effective katika kushambulia adui , ni matumzi ya Drones na Missiles.
Huko Ukraine drones zimekuwa a weapon of choice katika ku target sehemu za adui kwa pande zote.
Hamas juzi kwa vifaa ambavyo waweza kufikiri ni vya mchezo mchezo tu, katumia drones ambazo zimechakaza vibaya miuondombinu ya kijeshi ya Israel iliyokuwa mstari wa mbele.
Kwamba wameuawa wanajeshi zaidi ya 300 wa Israel, katika mashambulio ,hilo na jambo kubwa sana.
Maoni yangu ni Jeshi letu vile vile litazame upya Defence Policy yake ili matumizi ya vifaa hivi viweze kujumuishwa katika ulinzi wa nchi yetu.
Nawaza tu!
Inachekesha ila inasikitisha sanaNa Kubeba Korosho Huko Mtwara
Sheria za Tanzania, raia akibuni silaha anakabiliwa na miaka 30 jela.View attachment 2788069
View attachment 2788073
Kati ya taasisi nyeti ninazoziheshimu na kuzienzi ni jeshi letu la JWTZ.
Limeonyesha ukomavu wake kwa miaka mingi sana hasa wakati wa vita ya ukombozi.
Ilipoingia 1978, November/December hadi 1979,jeshi lilipitia "baptism of fire" wakati wa Vita ya Kagera.
Kimsingi baada ya vita ile ikadhihirika kuwa Defence Policy iko safi na inafanya kazi katika mazingira ya wakati ule.
Najua leo jeshi liko complex kuliko wakati huo na lina vyuo vyake ambavyo ni Think Tanks, kama National Defence College pale Kunduchi.
Sasa leo kuna vita hivi vya Ukraine na vile vile Israel na Hamas.
Mbinu zilizo jitokeza na kuwa very effective katika kushambulia adui , ni matumzi ya Drones na Missiles.
Huko Ukraine drones zimekuwa a weapon of choice katika ku target sehemu za adui kwa pande zote.
Hamas juzi kwa vifaa ambavyo waweza kufikiri ni vya mchezo mchezo tu, katumia drones ambazo zimechakaza vibaya miuondombinu ya kijeshi ya Israel iliyokuwa mstari wa mbele.
Kwamba wameuawa wanajeshi zaidi ya 300 wa Israel, katika mashambulio ,hilo na jambo kubwa sana.
Maoni yangu ni Jeshi letu vile vile litazame upya Defence Policy yake ili matumizi ya vifaa hivi viweze kujumuishwa katika ulinzi wa nchi yetu.
Nawaza tu!
Hahahaha"Hivi vikoplo usivione hivi, vikisikia vita vinajinyea bila kutaka" alisikika Afisa Mteule wa Jeshi akiwaambia waliokuwa wakitazama ubabe wa Coplo mmoja aliyekuwa anatishia kumgonga kwa Nissan afande wa barabarani mitaa ya Mlimani City
Huo ni msimamo hasi, itabidi tubadilike.Sheria za Tanzania, raia akibuni silaha anakabiliwa na miaka 30 jela.
Unadhani tutafika huko kwa pesa za hizi misaada?
Ubora wa kupasua matofali?Ni kweli! Nadhani Jeshi letu liko vizuri tu, maana kama linashika namba 6 duniani kwa ubora, ni swala la kuwekeza tu katika Technology ya zana za kivita.
Lakini hata hivyo bajeti ni changamoto, na sijui Serikali inatenga kiasi gani kila mwaka katika bajeti kwa ajili ya Wizara ya Ulinzi!
Ile Vita TZ haikushindaYANI VITA YA MWAKA 70' HUKO ALIYESHINDA TANGANYIKA INATUMIKA REFERENCE YA UIMARA WA JESHI 21st CENTURY????
YOU GAT TO BE KIDDING ME MEN
Tuanze kubadili mindset.Huo ni msimamo hasi, itabidi tubadilike.
Hizo ni jaramba za ku keep fit.Si walisema Tanzania inanjeshi bora na imara sasa unataka wajifunze nini tena wakati wako imara, mfano angalia wanavyojua kuvunja tofali na kufanya maonyesho kwenye sikukuu za kitaifa
Nyie kule kijiji cha Katerero si "magari" yenu yalitekwa na askari wa Amin.waliolewa, na kubebwa na Landirova.YANI VITA YA MWAKA 70' HUKO ALIYESHINDA TANGANYIKA INATUMIKA REFERENCE YA UIMARA WA JESHI 21st CENTURY????
YOU GAT TO BE KIDDING ME MEN
Katika upande wa intelijensia bongo ndio 0 kabisa, usitaku upate ushahidi zaidi yakuchunguza wenyeweKati ya taasisi nyeti ninazoziheshimu na kuzienzi ni jeshi letu la JWTZ, limeonyesha ukomavu wake kwa miaka mingi sana hasa wakati wa vita ya ukombozi.
Ilipoingia 1978, November/December hadi 1979, jeshi lilipitia "baptism of fire" wakati wa Vita ya Kagera.
Kimsingi baada ya vita ile ikadhihirika kuwa Defence Policy iko safi na inafanya kazi katika mazingira ya wakati ule.
Najua leo jeshi liko complex kuliko wakati huo na lina vyuo vyake ambavyo ni Think Tanks, kama National Defence College pale Kunduchi.
Sasa leo kuna vita hivi vya Ukraine na vile vile Israel na Hamas. Mbinu zilizojitokeza na kuwa very effective katika kushambulia adui, ni matumzi ya Drones na Missiles.
Huko Ukraine drones zimekuwa a weapon of choice katika ku target sehemu za adui kwa pande zote.
Hamas juzi kwa vifaa ambavyo waweza kufikiri ni vya mchezo mchezo tu, katumia drones ambazo zimechakaza vibaya miuondombinu ya kijeshi ya Israel iliyokuwa mstari wa mbele.
Kwamba wameuawa wanajeshi zaidi ya 300 wa Israel katika mashambulio, hilo na jambo kubwa sana.
Maoni yangu ni; Jeshi letu vile vile litazame upya Defence Policy yake ili matumizi ya vifaa hivi viweze kujumuishwa katika ulinzi wa nchi yetu.
Nawaza tu!