Jeshi letu lijifunze kutokana na vita ya Ukraine na sasa huko Israel/Hamas

Nakubaliana nawe 100%. Ukiwaona Ijumaa wanapokimbia mchakamchaka utashangaa kama unaowaona kweli ni askari wanaoweza kupigana vita.

Their only area of competence is at harassing innocent civilians.
Jeshi letu bado nidhamu yake hairidhishi.
Sio wabunifu.
Wananenepeana tu.
Ni aibu pia ufisadi kutajwa jeshini.

Kwa ujumla jwtz yetu ni polisi iliyochangamka.

Ninaongea kwa uxoefu...mengine niishie hapa tu....hatujawekeza jeshini.

Mkapa ndiye alianza kuja vizuri basi tu
 
Fuatilia bunge la bajeti, kila mwaka wizarabya ulinzi na wizara zingine zote husoma kiasi tengwa kwa ajili ya wizara zao. Pia unaweza ipata bajeti hiyo ukipitia kwenye website yao.
 
Katika vitu ambavyo huwa napenda sana ni kuimarisha jeshi letu.

Nina hamu sana tununue ndege vita mpya , meli za kivita na silaha nyingine za kutosha.

I always pray tuwe na jeshi imara.
 
Tufanye yote ila mambo ya kuomba vita hapana ,acha askari wanenepeane tu ,mana si wao peke yao wanao nenepa,
Nchi yetu imejaa mambo ya ajabu ajabu sana.
 
Iran kaondolewa vikwazo vya kuuza siraha na UN so kuhusu drone tuanzie hapa
 
"""Maoni yangu ni; Jeshi letu vile vile litazame upya Defence Policy yake ili matumizi ya vifaa hivi viweze kujumuishwa katika ulinzi wa nchi yetu.
Nawaza tu!"""

Lishatazama...
Au unataka waoneshe hayo matumizi yake..
Au endelea kuwaza hivo hivo
 
Kwanini Israel miaka yote anasaidiwa na America, Uk; France na silaha kubwa zote wanazo. Lkn juzi wametekwa kama anakamatwa kuku ktk kibanda chake? Tujifunze kwamba Allah ni mkubwa sana
Eeehh...yamekuwa ya allah tena....makubwaaa...allah kafikaje tena hapa mjomba aake mwarabu koko wa paresitinaa
 
Tuko vizuri mkuu. Huoni askari wetu mmoja anaweza kuvuta truck ya jeshi kwa kamba na ikatembea ikiwa na dereva ndani.
 
TUombe vita visitokee, hali ya jeshi letu tunaikuza, huo uzalendo wa karatasi na uongo sina, tunahitaji mafunzo zaidi na zana za kisasa, tuko nyuma mnoo
Ukomandoo wa kupasua matofali hauna nafasi katika vita vya leo.
 
Kwanini Israel miaka yote anasaidiwa na America, Uk; France na silaha kubwa zote wanazo. Lkn juzi wametekwa kama anakamatwa kuku ktk kibanda chake? Tujifunze kwamba Allah ni mkubwa sana
Hamas waliwavizia. Na zaidi waliwavizia na kuwaua raia. Kwa mashambulizi yanayoendelea sasa, kama Hamas wana uwezo wa kupigana, au huyo Allah ndiye anayewapigania, tulistahili kuuona ushindi wa Hamas. Mbona hao hamas wote wamekimbilia mahospitali, misikitini na makanisani, wakijichanganya na raia?

Kwenye kuviziwa, hakuna aliye mjanja. Hafa uwe na ujuzi na silaha za namna gani, mtu akija nyuma yako, ukiwa huna habari, akakutandika na rungu la mpingo kisogoni, lazima utakufa.
 

Wewe, unaota? Jeshi gani la kwetu linashika namba 6 kwa ubora Duniani? Au unamaanisha namba 60 au 600?
 
Tumia akili wewe mjinga. Hamas wamekimbia miskitini na mahospital? Mbona mabwana zako wakisaidiwa na mabeberu wanachungulia kwa mbali na mizinga yao mwezi sasa? Mbona hawaingii Gaza wakaswagwa. Tumia akili usitumie uso kufikiria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…