Jeshi letu bado nidhamu yake hairidhishi.Nakubaliana nawe 100%. Ukiwaona Ijumaa wanapokimbia mchakamchaka utashangaa kama unaowaona kweli ni askari wanaoweza kupigana vita.
Their only area of competence is at harassing innocent civilians.
Fuatilia bunge la bajeti, kila mwaka wizarabya ulinzi na wizara zingine zote husoma kiasi tengwa kwa ajili ya wizara zao. Pia unaweza ipata bajeti hiyo ukipitia kwenye website yao.Ni kweli! Nadhani Jeshi letu liko vizuri tu, maana kama linashika namba 6 duniani kwa ubora, ni swala la kuwekeza tu katika Technology ya zana za kivita.
Lakini hata hivyo bajeti ni changamoto, na sijui Serikali inatenga kiasi gani kila mwaka katika bajeti kwa ajili ya Wizara ya Ulinzi!
Huwa situmwi kufikiri na ku theorise the future.sawa umetumwa ujue sio ?
Iran kaondolewa vikwazo vya kuuza siraha na UN so kuhusu drone tuanzie hapaKati ya taasisi nyeti ninazoziheshimu na kuzienzi ni jeshi letu la JWTZ, limeonyesha ukomavu wake kwa miaka mingi sana hasa wakati wa vita ya ukombozi.
Ilipoingia 1978, November/December hadi 1979, jeshi lilipitia "baptism of fire" wakati wa Vita ya Kagera.
Kimsingi baada ya vita ile ikadhihirika kuwa Defence Policy iko safi na inafanya kazi katika mazingira ya wakati ule.
Najua leo jeshi liko complex kuliko wakati huo na lina vyuo vyake ambavyo ni Think Tanks, kama National Defence College pale Kunduchi.
Sasa leo kuna vita hivi vya Ukraine na vile vile Israel na Hamas. Mbinu zilizojitokeza na kuwa very effective katika kushambulia adui, ni matumzi ya Drones na Missiles.
Huko Ukraine drones zimekuwa a weapon of choice katika ku target sehemu za adui kwa pande zote.
Hamas juzi kwa vifaa ambavyo waweza kufikiri ni vya mchezo mchezo tu, katumia drones ambazo zimechakaza vibaya miuondombinu ya kijeshi ya Israel iliyokuwa mstari wa mbele.
Kwamba wameuawa wanajeshi zaidi ya 300 wa Israel katika mashambulio, hilo na jambo kubwa sana.
Maoni yangu ni; Jeshi letu vile vile litazame upya Defence Policy yake ili matumizi ya vifaa hivi viweze kujumuishwa katika ulinzi wa nchi yetu.
Nawaza tu!
Hebu rudia tena, sijakuelewa?Naweza kutuma drone dar nikiwa mwanza na haikosei nilipoituma.
Hebu rudia tena, sijakuelewa?
Aisee...Tulikataza viroba wakahamia kwenye Cuca za kwenye vichupa..Sasa ona madhara yake!
Kama siyo vicuca basi Johnson Johnson imeanza kufanyakazi!
Weka picha, sio ya kiloba 🤣Nilichokiandika ni hivyo mkuu.
Naweza kuwa mwanza nikatuma drone hii dar na haikosei coordinates nilipoituma.
Ukitaka kazi zangu zinapatikana.
Kwenye drone mwaka kesho nitatoa toleo la pili.
NIpe muda,endelea kufatilia huu uzi.Weka picha, sio ya kiloba 🤣
Hahahaaa!Dah!.Tusije kuwa na Jeshi kama hili la Naijeria ya leo ambako Askari wanaiba mafuta kwenye Kifaru hadi kinazimika halafu wanakiacha kinatekwa na Boko Haram
Haya naona umeianza wikendi....NIpe muda,endelea kufatilia huu uzi.
Eeehh...yamekuwa ya allah tena....makubwaaa...allah kafikaje tena hapa mjomba aake mwarabu koko wa paresitinaaKwanini Israel miaka yote anasaidiwa na America, Uk; France na silaha kubwa zote wanazo. Lkn juzi wametekwa kama anakamatwa kuku ktk kibanda chake? Tujifunze kwamba Allah ni mkubwa sana
Ukomandoo wa kupasua matofali hauna nafasi katika vita vya leo.TUombe vita visitokee, hali ya jeshi letu tunaikuza, huo uzalendo wa karatasi na uongo sina, tunahitaji mafunzo zaidi na zana za kisasa, tuko nyuma mnoo
Hamas waliwavizia. Na zaidi waliwavizia na kuwaua raia. Kwa mashambulizi yanayoendelea sasa, kama Hamas wana uwezo wa kupigana, au huyo Allah ndiye anayewapigania, tulistahili kuuona ushindi wa Hamas. Mbona hao hamas wote wamekimbilia mahospitali, misikitini na makanisani, wakijichanganya na raia?Kwanini Israel miaka yote anasaidiwa na America, Uk; France na silaha kubwa zote wanazo. Lkn juzi wametekwa kama anakamatwa kuku ktk kibanda chake? Tujifunze kwamba Allah ni mkubwa sana
Ni kweli! Nadhani Jeshi letu liko vizuri tu, maana kama linashika namba 6 duniani kwa ubora, ni swala la kuwekeza tu katika Technology ya zana za kivita.
Lakini hata hivyo bajeti ni changamoto, na sijui Serikali inatenga kiasi gani kila mwaka katika bajeti kwa ajili ya Wizara ya Ulinzi!
Tumia akili wewe mjinga. Hamas wamekimbia miskitini na mahospital? Mbona mabwana zako wakisaidiwa na mabeberu wanachungulia kwa mbali na mizinga yao mwezi sasa? Mbona hawaingii Gaza wakaswagwa. Tumia akili usitumie uso kufikiriaHamas waliwavizia. Na zaidi waliwavizia na kuwaua raia. Kwa mashambulizi yanayoendelea sasa, kama Hamas wana uwezo wa kupigana, au huyo Allah ndiye anayewapigania, tulistahili kuuona ushindi wa Hamas. Mbona hao hamas wote wamekimbilia mahospitali, misikitini na makanisani, wakijichanganya na raia?
Kwenye kuviziwa, hakuna aliye mjanja. Hafa uwe na ujuzi na silaha za namna gani, mtu akija nyuma yako, ukiwa huna habari, akakutandika na rungu la mpingo kisogoni, lazima utakufa.