Yuda Legacy
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 778
- 2,764
Hajui hata walio tengeneza drone Za mabomu walianza na hizi zinazobeba kamera ya kupiga Picha wakaona kama Inabeba kamera na ku shot photos and videos haiwezi shindwa beba kabooms [emoji1] (kaboomsJoke[emoji23])Mkuu hapa umejuaje sizungumzii hizo?
Ikiwa naweza kutuma kifaa kwenye coordinates sahihi mbali bila kukosea,unadhani ukinipa kuweka bomu au mlipuko wowote nitashindwa?
hata mimi sizungumzii za kupiga picha;
Naungana na wewe, kizazi hiki cha ki Tanzania kimekuwa cha dharau sanatu. Wengi wenye ujuzi makini sana wa advanced AI wapo sana hapa TZ, mimi nawafahamu. Kuanzia wale wa DRONES, AI WEAPONS, NORMAL WEAPONS kama AK-47, inatengenezwa kienyeji tu. Shida ktk jeshi letu ni:Sasa kwa kejeli hizi unadhani watu itatusaidia?
Kitu usichokijua heri kutulia tu,ukiona ile ni technolojia kubwa wengine hayo tunafanya toka std 7 huko.
Hii ndiyo shid ya jamii forum,bora ungeuliza hata baadhi ya kazi zangu sio kejeli.
Haina shida,subiri 2024 utaona kitu hewani toleo jipya kabisa.
Wacha weeKitu amjui sio kwamba jeshi letu lnakuzwa kwa maneno matupu Nyie watanzania hakuna sehem bajeti yake n kubwa kulko hata secta ya 3 kwa pamoja na vifaa vya jeshi ndio sir za jeshi Tuko na vfaa very advance kutoka kwa mrus ambae ndio partner wetu kiusalama toka kabla ya uhuru mpka sasa kwaio msjdanganye kua wana mifuko ya mabomu ya kurusha kwa mikono na vifaru vile vya miaka ya 80 ndio ya kulindia nchi ww lala na uendelee kuzalisha kwa spid uku ukitembea na edfon maskion kwa aman tele ujui knachoendelea nyuma ya pazia ndugu..
Safi saana!Mkuu mimi natengeneza sana hizi drone,sijui kwanini jwtz haitoi sapoti nifanye kazi nao.
Naweza kutuma drone dar nikiwa mwanza na haikosei nilipoituma.
Niko tanzania hii hii,wakinihitaji napatikana.
Sio kwamba sina kazi,nina ajira rasmi kabisa ya serikali.
Wakinihitaji naweza kuhamia hata kwao.
UnaotaKitu amjui sio kwamba jeshi letu lnakuzwa kwa maneno matupu Nyie watanzania hakuna sehem bajeti yake n kubwa kulko hata secta ya 3 kwa pamoja na vifaa vya jeshi ndio sir za jeshi Tuko na vfaa very advance kutoka kwa mrus ambae ndio partner wetu kiusalama toka kabla ya uhuru mpka sasa kwaio msjdanganye kua wana mifuko ya mabomu ya kurusha kwa mikono na vifaru vile vya miaka ya 80 ndio ya kulindia nchi ww lala na uendelee kuzalisha kwa spid uku ukitembea na edfon maskion kwa aman tele ujui knachoendelea nyuma ya pazia ndugu..
Ila wazee wa bwibwi wanatizama fursa Kwa jicho la 3Wewe ni potential sana,siku hizi licha ya drones kutumika katika uwanja wa vita,pia zinatumika sana usafirisha madawa ya kulevya.
Achana nae huyo , ajiulizi kwanini jiwe alipiga ban dronesMkuu hapa umejuaje sizungumzii hizo?
Ikiwa naweza kutuma kifaa kwenye coordinates sahihi mbali bila kukosea,unadhani ukinipa kuweka bomu au mlipuko wowote nitashindwa?
hata mimi sizungumzii za kupiga picha;
Zipo Ila ni kidogo mno,Juzi kati hapa pande za msata walikuwa wanafanya drills zao
Zile...
Aise walininginiza chupa za juice maji mo energy kama ndy target
Kifupi tu wasipende kuonesha mazoezi yao maana watu wanawachora tu
Hatujui lakini,labda kama wana silaha za kisasa wanaZificha hawataki kuzionesha hadharani
Ova
Jeshi imara inaleta confidence.Katika vitu ambavyo huwa napenda sana ni kuimarisha jeshi letu.
Nina hamu sana tununue ndege vita mpya , meli za kivita na silaha nyingine za kutosha.
I always pray tuwe na jeshi imara.
Mkuu ile ya Hamas ni advanced military strategy ambayo hata Israel hawakuigikiria.
Hii inamaana basic strategical defence policy ya Israel imekuwa shattered.
Back to the drawing board.
Ikitokea Tanzania ikaingia vitani sasa hivi itackazwa mapema sana. Tazama adui anachimba mahandaki (underground tunnel) Zanzibar kupitia baharini na kuibukia kwenye ardhi yao ya Bagamoyo kisha wanarusha makombora magogoni, Tanga, Morogoro na Dodoma. Rwanda (M23 rebels)View attachment 2788161
, Burundi na DRC wanachimba mahandaki yao chini ya ziwa Tanganyika na kuibukia kwenye ardhi yao ya Buhigwe, Katavi na Ngara.
Zambia na Malawi wanachimba mahandaki yao wanaibukia ardhi yao ya Tunduma, Ileje, Kyela , Njombe na Mbamba bay huko Nyasa ni balaa tupu
Msumbiji jimbo la Cabo Delgado magaidi ya Al Shabab wanachimba mahandaki yao kuvuka mto Ruvuma kulenga ukanda wa gesi utawazuia na kitu gani?
View attachment 2788157
View attachment 2788158
Waasi wa uganda ADF na balaa lao usiombe vita
View attachment 2788162
Nchi pekee itakayo acha kuishambulia Tanzaia ni tatu tu yaani Zambia, DRC Congo na Kenya pekee nimemaliza
Unatumia materials gani? Kama chuma hutengeneza wewe, engine hutengeneza wewe hizo wire unazifuaje?Sasa kwa kejeli hizi unadhani watu itatusaidia?
Kitu usichokijua heri kutulia tu,ukiona ile ni technolojia kubwa wengine hayo tunafanya toka std 7 huko.
Hii ndiyo shid ya jamii forum,bora ungeuliza hata baadhi ya kazi zangu sio kejeli.
Haina shida,subiri 2024 utaona kitu hewani toleo jipya kabisa.
Kwahiyo unataka nianze kutengeneza chuma au material ninayofanyia kazi?Unatumia materials gani? Kama chuma hutengeneza wewe, engine hutengeneza wewe hizo wire unazifuaje?
Punguza bange bro!
Ashaqum si matusi!Kwahiyo unataka nianze kutengeneza chuma au material ninayofanyia kazi?
Angalia simu yako tu,utakuta mtengezaji wa simu na chip za kwenye simu ni nchi mbili tofauti!
Shida ya watanzania ni kutaka kukosoa,sio kuboresha.
Na kwa kukosoa huku,kuna mtu atasema hata toothsticks hatutengenezi,hongera mkuu!
Yaani sawa na mtu anayejenga nyumba utake ajue kutengeneza saruji pia ndiyo umkubali.
Kumbe unafanya assembling..hapo sawa! Nikajua kutengeneza!Kwahiyo unataka nianze kutengeneza chuma au material ninayofanyia kazi?
Angalia simu yako tu,utakuta mtengezaji wa simu na chip za kwenye simu ni nchi mbili tofauti!
Shida ya watanzania ni kutaka kukosoa,sio kuboresha.
Na kwa kukosoa huku,kuna mtu atasema hata toothsticks hatutengenezi,hongera mkuu!
Yaani sawa na mtu anayejenga nyumba utake ajue kutengeneza saruji pia ndiyo umkubali.
Haya ni mawazo yako mkuu!Kumbe unafanya assembling..hapo sawa! Nikajua kutengeneza!
[emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja tuendele kujenga maframe ya biashara
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tusije kuwa na Jeshi kama hili la Naijeria ya leo ambako Askari wanaiba mafuta kwenye Kifaru hadi kinazimika halafu wanakiacha kinatekwa na Boko Haram