Ikitokea Tanzania ikaingia vitani sasa hivi itackazwa mapema sana. Tazama adui anachimba mahandaki (underground tunnel) Zanzibar kupitia baharini na kuibukia kwenye ardhi yao ya Bagamoyo kisha wanarusha makombora magogoni, Tanga, Morogoro na Dodoma. Rwanda (M23 rebels)
View attachment 2788161
, Burundi na DRC wanachimba mahandaki yao chini ya ziwa Tanganyika na kuibukia kwenye ardhi yao ya Buhigwe, Katavi na Ngara.
Zambia na Malawi wanachimba mahandaki yao wanaibukia ardhi yao ya Tunduma, Ileje, Kyela , Njombe na Mbamba bay huko Nyasa ni balaa tupu
Msumbiji jimbo la
Cabo Delgado magaidi ya Al Shabab wanachimba mahandaki yao kuvuka mto Ruvuma kulenga ukanda wa gesi utawazuia na kitu gani?
View attachment 2788157
View attachment 2788158
Waasi wa uganda ADF na balaa lao usiombe vita
View attachment 2788162
Nchi pekee itakayo acha kuishambulia Tanzaia ni tatu tu yaani Zambia, DRC Congo na Kenya pekee nimemaliza