Jeshi letu lijifunze kutokana na vita ya Ukraine na sasa huko Israel/Hamas

Jeshi letu lijifunze kutokana na vita ya Ukraine na sasa huko Israel/Hamas

Mkuu hapa umejuaje sizungumzii hizo?
Ikiwa naweza kutuma kifaa kwenye coordinates sahihi mbali bila kukosea,unadhani ukinipa kuweka bomu au mlipuko wowote nitashindwa?

hata mimi sizungumzii za kupiga picha;
Hajui hata walio tengeneza drone Za mabomu walianza na hizi zinazobeba kamera ya kupiga Picha wakaona kama Inabeba kamera na ku shot photos and videos haiwezi shindwa beba kabooms [emoji1] (kaboomsJoke[emoji23])
 
Kitu amjui sio kwamba jeshi letu lnakuzwa kwa maneno matupu Nyie watanzania hakuna sehem bajeti yake n kubwa kulko hata secta ya 3 kwa pamoja na vifaa vya jeshi ndio sir za jeshi Tuko na vfaa very advance kutoka kwa mrus ambae ndio partner wetu kiusalama toka kabla ya uhuru mpka sasa kwaio msjdanganye kua wana mifuko ya mabomu ya kurusha kwa mikono na vifaru vile vya miaka ya 80 ndio ya kulindia nchi ww lala na uendelee kuzalisha kwa spid uku ukitembea na edfon maskion kwa aman tele ujui knachoendelea nyuma ya pazia ndugu..
 
Sasa kwa kejeli hizi unadhani watu itatusaidia?

Kitu usichokijua heri kutulia tu,ukiona ile ni technolojia kubwa wengine hayo tunafanya toka std 7 huko.

Hii ndiyo shid ya jamii forum,bora ungeuliza hata baadhi ya kazi zangu sio kejeli.
Haina shida,subiri 2024 utaona kitu hewani toleo jipya kabisa.
Naungana na wewe, kizazi hiki cha ki Tanzania kimekuwa cha dharau sanatu. Wengi wenye ujuzi makini sana wa advanced AI wapo sana hapa TZ, mimi nawafahamu. Kuanzia wale wa DRONES, AI WEAPONS, NORMAL WEAPONS kama AK-47, inatengenezwa kienyeji tu. Shida ktk jeshi letu ni:
(1). Kutofanya/kutokuwa na intelijensia ya kuwajua/kuwatambua watu hawa ili wawe msaada kwa jeshi letu.
(2) Kuwa na wivu na kujiona wao ( JWTZ) kuwa wananjua vyote.
(3) Hata wale waliokuwa na vipaji hivyo, walipoingizwa jeshi, hawakutumika kama inavyotakiwa
(4) Nawafahamu wengine wenye talent na vipaji hivyo walipoingizwa jeshini, hawakupewa support aidha ya morale au financial, (hakuna funds), na funds zikitengwa zinatumiwa kivingine
(5) Wengi wa wanajeshi wetu wameingia jeshini kwa Baba kanituma i.e kimagumashi
(6) Wengi wao wamekuwa pro - CCM ili kupandishwa cheo na **Amiri jeshi mkuu - raise wa CCM!
Yapo mengi sana sana, kwani jeshini hata watu kama kina Pasco wanatakiwa wawepo, akina Mshana Jr ( rejea akina mti mkavu nk.)
Shida mojawapo ninyi vijana wa sasa hivi hizi mambo hamzijui.
Uliza sisi wa miaka ya 50s changanya na hii new technology utajua kuwa hujui yote.
Mwisho nawatakia Dominika njema.
 
Kitu amjui sio kwamba jeshi letu lnakuzwa kwa maneno matupu Nyie watanzania hakuna sehem bajeti yake n kubwa kulko hata secta ya 3 kwa pamoja na vifaa vya jeshi ndio sir za jeshi Tuko na vfaa very advance kutoka kwa mrus ambae ndio partner wetu kiusalama toka kabla ya uhuru mpka sasa kwaio msjdanganye kua wana mifuko ya mabomu ya kurusha kwa mikono na vifaru vile vya miaka ya 80 ndio ya kulindia nchi ww lala na uendelee kuzalisha kwa spid uku ukitembea na edfon maskion kwa aman tele ujui knachoendelea nyuma ya pazia ndugu..
Wacha wee

Ova
 
Mkuu mimi natengeneza sana hizi drone,sijui kwanini jwtz haitoi sapoti nifanye kazi nao.
Naweza kutuma drone dar nikiwa mwanza na haikosei nilipoituma.

Niko tanzania hii hii,wakinihitaji napatikana.

Sio kwamba sina kazi,nina ajira rasmi kabisa ya serikali.

Wakinihitaji naweza kuhamia hata kwao.
Safi saana!
 
Kitu amjui sio kwamba jeshi letu lnakuzwa kwa maneno matupu Nyie watanzania hakuna sehem bajeti yake n kubwa kulko hata secta ya 3 kwa pamoja na vifaa vya jeshi ndio sir za jeshi Tuko na vfaa very advance kutoka kwa mrus ambae ndio partner wetu kiusalama toka kabla ya uhuru mpka sasa kwaio msjdanganye kua wana mifuko ya mabomu ya kurusha kwa mikono na vifaru vile vya miaka ya 80 ndio ya kulindia nchi ww lala na uendelee kuzalisha kwa spid uku ukitembea na edfon maskion kwa aman tele ujui knachoendelea nyuma ya pazia ndugu..
Unaota
Rudia ulichokiandika

Pole sana
 
Wewe ni potential sana,siku hizi licha ya drones kutumika katika uwanja wa vita,pia zinatumika sana usafirisha madawa ya kulevya.
Ila wazee wa bwibwi wanatizama fursa Kwa jicho la 3
 
Mkuu hapa umejuaje sizungumzii hizo?
Ikiwa naweza kutuma kifaa kwenye coordinates sahihi mbali bila kukosea,unadhani ukinipa kuweka bomu au mlipuko wowote nitashindwa?

hata mimi sizungumzii za kupiga picha;
Achana nae huyo , ajiulizi kwanini jiwe alipiga ban drones
 
Juzi kati hapa pande za msata walikuwa wanafanya drills zao
Zile...
Aise walininginiza chupa za juice maji mo energy kama ndy target
Kifupi tu wasipende kuonesha mazoezi yao maana watu wanawachora tu
Hatujui lakini,labda kama wana silaha za kisasa wanaZificha hawataki kuzionesha hadharani

Ova
Zipo Ila ni kidogo mno,
 
Mkuu ile ya Hamas ni advanced military strategy ambayo hata Israel hawakuigikiria.
Hii inamaana basic strategical defence policy ya Israel imekuwa shattered.
Back to the drawing board.

Israel walinisahau sana. Its what happened to russia at first phase ya vita na ukraine wakawa suprised
But yes its time for israel to back to the drawing board
 
Ikitokea Tanzania ikaingia vitani sasa hivi itackazwa mapema sana. Tazama adui anachimba mahandaki (underground tunnel) Zanzibar kupitia baharini na kuibukia kwenye ardhi yao ya Bagamoyo kisha wanarusha makombora magogoni, Tanga, Morogoro na Dodoma. Rwanda (M23 rebels)View attachment 2788161
, Burundi na DRC wanachimba mahandaki yao chini ya ziwa Tanganyika na kuibukia kwenye ardhi yao ya Buhigwe, Katavi na Ngara.
Zambia na Malawi wanachimba mahandaki yao wanaibukia ardhi yao ya Tunduma, Ileje, Kyela , Njombe na Mbamba bay huko Nyasa ni balaa tupu
Msumbiji jimbo la Cabo Delgado magaidi ya Al Shabab wanachimba mahandaki yao kuvuka mto Ruvuma kulenga ukanda wa gesi utawazuia na kitu gani?
View attachment 2788157

View attachment 2788158
Waasi wa uganda ADF na balaa lao usiombe vita
View attachment 2788162
Nchi pekee itakayo acha kuishambulia Tanzaia ni tatu tu yaani Zambia, DRC Congo na Kenya pekee nimemaliza

No offence but its sound unrealistic
Adui huyu itabidi awe na unlimited resource ya kuchimba andaki from zanz to tanga bila kuwa detected.
You do realize wanachimba undersea?

Thats different story from congo
 
Sasa kwa kejeli hizi unadhani watu itatusaidia?

Kitu usichokijua heri kutulia tu,ukiona ile ni technolojia kubwa wengine hayo tunafanya toka std 7 huko.

Hii ndiyo shid ya jamii forum,bora ungeuliza hata baadhi ya kazi zangu sio kejeli.
Haina shida,subiri 2024 utaona kitu hewani toleo jipya kabisa.
Unatumia materials gani? Kama chuma hutengeneza wewe, engine hutengeneza wewe hizo wire unazifuaje?

Punguza bange bro!
 
Unatumia materials gani? Kama chuma hutengeneza wewe, engine hutengeneza wewe hizo wire unazifuaje?

Punguza bange bro!
Kwahiyo unataka nianze kutengeneza chuma au material ninayofanyia kazi?

Angalia simu yako tu,utakuta mtengezaji wa simu na chip za kwenye simu ni nchi mbili tofauti!

Shida ya watanzania ni kutaka kukosoa,sio kuboresha.

Na kwa kukosoa huku,kuna mtu atasema hata toothsticks hatutengenezi,hongera mkuu!

Yaani sawa na mtu anayejenga nyumba utake ajue kutengeneza saruji pia ndiyo umkubali.
 
Kwahiyo unataka nianze kutengeneza chuma au material ninayofanyia kazi?

Angalia simu yako tu,utakuta mtengezaji wa simu na chip za kwenye simu ni nchi mbili tofauti!

Shida ya watanzania ni kutaka kukosoa,sio kuboresha.

Na kwa kukosoa huku,kuna mtu atasema hata toothsticks hatutengenezi,hongera mkuu!

Yaani sawa na mtu anayejenga nyumba utake ajue kutengeneza saruji pia ndiyo umkubali.
Ashaqum si matusi!
 
Kwahiyo unataka nianze kutengeneza chuma au material ninayofanyia kazi?

Angalia simu yako tu,utakuta mtengezaji wa simu na chip za kwenye simu ni nchi mbili tofauti!

Shida ya watanzania ni kutaka kukosoa,sio kuboresha.

Na kwa kukosoa huku,kuna mtu atasema hata toothsticks hatutengenezi,hongera mkuu!

Yaani sawa na mtu anayejenga nyumba utake ajue kutengeneza saruji pia ndiyo umkubali.
Kumbe unafanya assembling..hapo sawa! Nikajua kutengeneza!
 
Jewii wanaopenda anasa Sana,hawataki kusugua vichwa,tuombe vita visitokee
 
Tusije kuwa na Jeshi kama hili la Naijeria ya leo ambako Askari wanaiba mafuta kwenye Kifaru hadi kinazimika halafu wanakiacha kinatekwa na Boko Haram
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom