Jeshi letu lijifunze kutokana na vita ya Ukraine na sasa huko Israel/Hamas

Dah!

Mkuu ina maana tuna hali mbaya?

Kwanini tusitumie watafiti wetu waliopo hapahapa nchini?

Mimi mwenyewe kwenye kutengeneza drone naweza sana, tena full automated.

Mwaka kesho nitarusha moja, wakinihitaji niko tayari kufanya kazi nao.
Samia aione hii ni dhahabu ktk nchi , watu km nyiny mnapaswa kutunzwa vzr ila ubinafs wetu tu , ningekuwa rais ungekuwa na mji wako na theatre yako kbs
 
Namba 6 Duniani au Africa masharik?

USA
GERMAN
FRANCE
UK
RUSSIA
CHINA
INDIA
IRAN
NORTH KOREA
UKRAINE
SAUDI ARABIA
TURKEY
africa mashariki? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wa sita ?
 
Kwanini Israel miaka yote anasaidiwa na America, Uk; France na silaha kubwa zote wanazo. Lkn juzi wametekwa kama anakamatwa kuku ktk kibanda chake? Tujifunze kwamba Allah ni mkubwa sana
nendene nkawateke sasa
 
Kongole kwako mkuu
 
Una utoto sn
 
Nijuavyo Silaha sio ushindi katika vita...
Bali Ni mbinu madhubuti Descpline ya askari.
Maana ukikosa hivyo hata uwe na makombora yapi hushindi vita
Ndio maana tunsongelea Nationsl Defence policy mkuu.
Silaha ni vyuma tu ambavyo huendeshwa na binadamu.
Hskuna vita silaha peke yake jeshi linshinda., wananchi lazima waliunge mkono.
 
Ha ha ha ha
Eti imeua wanajeshi 300 wa Israel.

Kama ameweza kuua wote hawa si vita ishaisha.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜
 
Kwanini Israel miaka yote anasaidiwa na America, Uk; France na silaha kubwa zote wanazo. Lkn juzi wametekwa kama anakamatwa kuku ktk kibanda chake? Tujifunze kwamba Allah ni mkubwa sana
Kumbe Allah aliwatuma wakavamie waisrael na kuwaua raia ovyo.
Mbona Allah hajawasaidia sasa hivi wanavyouliwa na nyumba zao kubomolewa na wengine kukimbilia Misri?
Kumbe Allah ni gaidi kwa mujibu wa comment yako na anashirikiana magaidi wa palestina
 
Haya ni mawazo yako mkuu!
Siyakatai!

Ni mawazo mengi niliyokutana nayo,sishangai.

Wengine wakitoa product wanapewa pongezi na hawahawa watanzania,ila mtanzania mwenzao akitoa kitu comments huwa zinavunja moyo.
We unadhani lile gari jekundu la yule bwana liliishia wapi? Lakutumia umeme!

Namaanisha Mzee Kipanya... Yaani...
 
sikufatilia mkuu!

ndiyo maana nasema wewe endelea na hayo mawazo yako,si mabaya,ila mimi nitafanya kazi zangu.

nImeahidi 2024 kutoa toleo la pili.
Tunaomba tuone toleo la kwanza hapa basi Mzee!bau umetengeneza tiara ukadhani ndio drones za mashambulizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…