Jeshi letu limetutenga Watanzania

Jeshi letu limetutenga Watanzania

Hao mambulula wenye MADIVISHENI FOO huwa wanasubiri orders. They don't have a mind of their own.

Na huko jeshini huwa wanakuwa programmed kuwa misukule. Ni kati ya taasisi ambazo ni HEAVILY BRAINWASHED.

Ukiona wanajeshi wanahusika kupindua serikali ujue wahusika ni kundi dogo sana la ELITES na wajuzi haswa ambalo halizidi watu hamsini. Hawa manyumbu wenye magwanda ya mabaka mabaka ndio wanafuata nyuma kwa matambo ya pushups lakini hawana walijualo.

Only a small group of elites can overthrow a government. Watu ishirini tu ambao ni very smart.

Haya MADIVISHENI FOO ni kufuata nyuma tu kwa amri za WAKUU ambao ni the smartest.

Cc: @ Poor Brain min -meNAMBA MOJA AJAYE NCHINI Rabbon Lucas Mwashambwa ChoiceVariable chiembe Sexless Stuxnet Pascal Mayalla Kiranga Nyani Ngabu Tindo GENTAMYCINE
Kumbe kuna wanawake mnaakil hv? Ww mbususu yako lazma iwe tamu pia.
 
Jeshi letu limetutenga Watanzania.

Napata mashaka kuamini kama hili ni jeshi la wananchi wa Tanzania ama laah.

Sitaki kuamini kwamba katika jeshi zima hakuna hata mmoja mwenye akili na kuumizwa.
Ngoja nikutafutie mawasiliano ya IBRAHIM TRAORE labda atakupa majibu ya swali lako.
 
Hao mambulula wenye MADIVISHENI FOO huwa wanasubiri orders. They don't have a mind of their own.

Na huko jeshini huwa wanakuwa programmed kuwa misukule. Ni kati ya taasisi ambazo ni HEAVILY BRAINWASHED.

Ukiona wanajeshi wanahusika kupindua serikali ujue wahusika ni kundi dogo sana la ELITES na wajuzi haswa ambalo halizidi watu hamsini. Hawa manyumbu wenye magwanda ya mabaka mabaka ndio wanafuata nyuma kwa matambo ya pushups lakini hawana walijualo.

Only a small group of elites can overthrow a government. Watu ishirini tu ambao ni very smart.

Haya MADIVISHENI FOO ni kufuata nyuma tu kwa amri za WAKUU ambao ni the smartest.

Cc: @ Poor Brain min -meNAMBA MOJA AJAYE NCHINI Rabbon Lucas Mwashambwa ChoiceVariable chiembe Sexless Stuxnet Pascal Mayalla Kiranga Nyani Ngabu Tindo GENTAMYCINE
Wewe dogo ,ngoja tukukamate,na hivi hauleweki jinsia yako,utaimba Aleluya
 
Jeshi letu limetutenga Watanzania.

Napata mashaka kuamini kama hili ni jeshi la wananchi wa Tanzania ama laah.

Sitaki kuamini kwamba katika jeshi zima hakuna hata mmoja mwenye akili na kuumizwa.

Polisi, CCM na Serikali yake, wamegeuka kuwa genge la kihalifu dhidi ya Watanzania.
 
Hawa viongozi wa ccm hawana akili nzuri sana
Haitaisha miaka kumi kwa huu mwendo wanaotupeleka kabla hayajatokea mambo ya kuwaacha hoi kabisa
Tuombe Mungu uzima tu
Mambo wanayofanya hawa watu yanaumiza sana na nauhakika kwamba kuna watu wenye uwezo wa kukata nyaya wanapitia maumivu pia juu ya matendo yanayoendelea nchi hii
Mtu huyo atatoka upande wao wala wasijione wako salama sana

Naungana nawe, kwa uovu huu, haitapita hata miaka mitano, watajutia.
 
Hao mambulula wenye MADIVISHENI FOO huwa wanasubiri orders. They don't have a mind of their own.

Na huko jeshini huwa wanakuwa programmed kuwa misukule. Ni kati ya taasisi ambazo ni HEAVILY BRAINWASHED.

Ukiona wanajeshi wanahusika kupindua serikali ujue wahusika ni kundi dogo sana la ELITES na wajuzi haswa ambalo halizidi watu hamsini. Hawa manyumbu wenye magwanda ya mabaka mabaka ndio wanafuata nyuma kwa matambo ya pushups lakini hawana walijualo.

Only a small group of elites can overthrow a government. Watu ishirini tu ambao ni very smart.

Haya MADIVISHENI FOO ni kufuata nyuma tu kwa amri za WAKUU ambao ni the smartest.

Cc: @ Poor Brain min -meNAMBA MOJA AJAYE NCHINI Rabbon Lucas Mwashambwa ChoiceVariable chiembe Sexless Stuxnet Pascal Mayalla Kiranga Nyani Ngabu Tindo GENTAMYCINE
Kitanuka tu!

We subiri mambo yachanganye!

Tayari kikwete alishasema "labda mambo yaharibike sana"mdogo mdogo yanaharibika na migomo ya wajasiriamali imeanza!!

Chura kiziwi masikio yatazibuka tu!!

Mpina kafanya kazi aliyotumwa vizuri na walivyo empty headed wamemfukuza ili kuhalalisha tuhuma zao,Bunge halitotumika tena kama chombo cha kusimamia serikali bali maamuzi ya mafichoni yatatumika kuongeza serikali!!

HAKUNA UPUUZI MKUBWA ULIOFANYA BUNGE KAMA KUMFUNGIA MPINA NI RASMI DOLA ITAONA BUNGE LIPO KUTETEA MAJIZI NA WAO WATAINGIA MZIGONI HALAFU CHURA ATARUKIA KWA WAJOMBA ZAKE BAADA YA MAJI KUCHEMKA!!!
NGOJA TUONE!
 
Jeshi letu limetutenga Watanzania.

Napata mashaka kuamini kama hili ni jeshi la wananchi wa Tanzania ama laah.

Sitaki kuamini kwamba katika jeshi zima hakuna hata mmoja mwenye akili na kuumizwa.
Wengi wanajali maslahi binafsi
 
Kitanuka tu!

We subiri mambo yachanganye!

Tayari kikwete alishasema "labda mambo yaharibike sana"mdogo mdogo yanaharibika na migomo ya wajasiriamali imeanza!!

Chura kiziwi masikio yatazibuka tu!!

Mpina kafanya kazi aliyotumwa vizuri na walivyo empty headed wamemfukuza ili kuhalalisha tuhuma zao,Bunge halitotumika tena kama chombo cha kusimamia serikali bali maamuzi ya mafichoni yatatumika kuongeza serikali!!

HAKUNA UPUUZI MKUBWA ULIOFANYA BUNGE KAMA KUMFUNGIA MPINA NI RASMI DOLA ITAONA BUNGE LIPO KUTETEA MAJIZI NA WAO WATAINGIA MZIGONI HALAFU CHURA ATARUKIA KWA WAJOMBA ZAKE BAADA YA MAJI KUCHEMKA!!!
NGOJA TUONE!
Hamna kitu kama hicho jeshi la tanzania nibla like milele bila damu zetu watanzania kumwagika hamna kitu kitachobadilika milele narudia tena jeshi la tanzania ni la kike
 
Hamna kitu kama hicho jeshi la tanzania nibla like milele bila damu zetu watanzania kumwagika hamna kitu kitachobadilika milele narudia tena jeshi la tanzania ni la kike
Mfumo wetu hauruhusu Damu kumwagika za watz yaani mass massacre kama ya south au kenya!!..

Huwa wanamuondoa mhusika kwa mfumo uitwao "safe process"bila kuathiri wengi!!
. check and Balance system!!

Kama chuma kilipata kutu bas huyu ni rahisi sana coz na yeye kishajichanganya na teka teka !!

Safe process!
 
wewe sema lini tunaingia barabarani
tuko nyuma yako ๐Ÿค
Unaumwa wewe๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, tumefunzwa kuwa watulivu hata kama tuna shida, kwa kweli hapa walijitahidi, kwanza ukiona mmoja kachapwa risasi hakuna mtanzania hata mmoja atabaki mtaani๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Jeshi letu limetutenga Watanzania.

Napata mashaka kuamini kama hili ni jeshi la wananchi wa Tanzania ama laah.

Sitaki kuamini kwamba katika jeshi zima hakuna hata mmoja mwenye akili na kuumizwa.
Naunga mkono hoja.
 
Hao mambulula wenye MADIVISHENI FOO huwa wanasubiri orders. They don't have a mind of their own.

Na huko jeshini huwa wanakuwa programmed kuwa misukule. Ni kati ya taasisi ambazo ni HEAVILY BRAINWASHED.

Ukiona wanajeshi wanahusika kupindua serikali ujue wahusika ni kundi dogo sana la ELITES na wajuzi haswa ambalo halizidi watu hamsini. Hawa manyumbu wenye magwanda ya mabaka mabaka ndio wanafuata nyuma kwa matambo ya pushups lakini hawana walijualo.

Only a small group of elites can overthrow a government. Watu ishirini tu ambao ni very smart.

Haya MADIVISHENI FOO ni kufuata nyuma tu kwa amri za WAKUU ambao ni the smartest.

Cc: @ Poor Brain min -meNAMBA MOJA AJAYE NCHINI Rabbon Lucas Mwashambwa ChoiceVariable chiembe Sexless Stuxnet Pascal Mayalla Kiranga Nyani Ngabu Tindo GENTAMYCINE
Mwanasheria unaye au yuko likizo? ๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom