The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Mbona unajicontradict wewe mwenyewe kwa ulichokiandika hapo?Wale hawakubeba bomu wala silaha ,japo walidanganywa,walifanya kwa hiari yao bila kumsumbua yyte na kutaka madaraka wala nini , kule Sudan wanakimbiza kutawala mpaka kuharibu nchi ,utatawalje maskini wasio na lishe ,ule ni ujinga wakupitiliza