Jeshi Sudan laelekea kushinda vita

Wale hawakubeba bomu wala silaha ,japo walidanganywa,walifanya kwa hiari yao bila kumsumbua yyte na kutaka madaraka wala nini , kule Sudan wanakimbiza kutawala mpaka kuharibu nchi ,utatawalje maskini wasio na lishe ,ule ni ujinga wakupitiliza
Mbona unajicontradict wewe mwenyewe kwa ulichokiandika hapo?
 
Vipi kuhusu wale wagalatia wenzako walioambiwa wafunge bila kula mpaka wakafa ili waende mbinguni fasta,wao hizo ndio mind set za kisasa?
umekuwa mlinzi wa dini we mbuzi mfia dini? Huachi kutaja wagalatia
 
Hawa wavaa kobazi wana mind set za kizamani kwamba uki ishika Ikulu tu tayar wewe ni raisi
Ww unavyojua hili upindue nchi maeneo gani ya kuteka?au ww unataka kupindua nchi unaenda kuteka shule akili huna halafu unajifanya kuponda watu eti wavaa kobaz vita zozote za madaraka sehemu zinashambuliwa viwanja vya ndege na ikulu aliyopo rais
 
Mmarekani hanaga dini ndugu usidhan kila mzungu ni padri, uyo mmarekani ndio aliwaweka Mujahidin Taliban pale afghan, wale wapuuzi wanafanyakaz hata aliens as long as maslah yao yanasonga
 
Mrusi upande wa serikali US upande wa RSF patamu hapo
Akili za kijinga sana hizi.. Sasa utamu uko wapi hapo? Yani watu wanakufa wewe inaonekana una enjoy kama unaangalia movie.. Kenge kweli wewe..
 
 

Attachments

  • VID-20230502-WA0004.mp4
    5 MB
kwa hiyo marekani hapo hausiki kabisaaaaa .....
 
Hawawezi kuangusha ndege ya kivita kwa bunduki ya rashasha.
 
nyiny mnaoipinga USA kinamna fulani mnaiabudu USA mnaamin USA kila kitu duniani yeye ndo sababu
Kwa muda mrefu ilikuwa hivyo.Kwa sasa inapungua kwa kasi kwa kuwa nguvu zake zimeisha bila kupenda.
 
Vita ya kijinga kabisa.. haina maana kabisaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…