Jeshi Urusi hii Leo lazuia msafara wa Jeshi la Marekani nchini Syria

Marekani ni zaidi ya hatari ni suala la muda tu warusi watanyosha maelezo wanafanya haya mambo kwa faida ya nani? Urusi imekuwa kama malaya aliyeshindwa kumtunza mke wahuni wakamchukua ila amebaki kulazimisha show kwa mke wa mtu.
 
Marekani ni zaidi ya hatari ni suala la muda tu warusi watanyosha maelezo wanafanya haya mambo kwa faida ya nani? Urusi imekuwa kama malaya aliyeshindwa kumtunza mke wahuni wakamchukua ila amebaki kulazimisha show kwa mke wa mtu.
USA Hana uwezo wa kumvimbia russia.kapambana Ukraine akisaidiwa na NATO mpaka Leo hajafanikiwa amepoteza Dola nyingi sanaa
 
Watu wanamchukulia urusi kama mchumba ,ila anavimba na marekani anatulia tulii
Marekani anaujua mziki wa Russia. Wale wamarekani waliokwama kule anga za mbali aliulizwa Elon musk akasema mwenye uwezo wa kuwaokoa ni warusi kwa situation kama ile marekani walimind sana ile kauli yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…