Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Sio kila ugomvi wa kuingilia upo mwingine wa kimkakati.Warusi wameshidwa kwenye huo mgogoro wa Syria badala ya kusaidia Jeshi la Assad wao walikuwa Bize na kunywa mizinga ya Vodka.
Hii habari inaelezea kupigwa block kwa Majeshi ya Majeshi ya Marekani na Urusi huko SyriaWarusi wameshidwa kwenye huo mgogoro wa Syria badala ya kusaidia Jeshi la Assad wao walikuwa Bize na kunywa mizinga ya Vodka.
USA Hana uwezo wa kumvimbia russia.kapambana Ukraine akisaidiwa na NATO mpaka Leo hajafanikiwa amepoteza Dola nyingi sanaaMarekani ni zaidi ya hatari ni suala la muda tu warusi watanyosha maelezo wanafanya haya mambo kwa faida ya nani? Urusi imekuwa kama malaya aliyeshindwa kumtunza mke wahuni wakamchukua ila amebaki kulazimisha show kwa mke wa mtu.
Russia amewatambua HTS na tayari amewaruhusu kupandishwa bendera mpya ya Syria huko MoscowSasa wanazuia nini wakati tayari ikulu ishaenda kwa HTS
Haha wapita njiaa. Marekani anatafuta Nini Syria?Hawa jamaa wa kirusi aidha ni wavuta bangi au walizaliwa nje ndoa ............asad kashatoka madarakani hawakuzuia wanakuja kuzuia wapita njia ..........kituko
Hana uwezo wakati unaona makombora ya US yanatumika Ukraine na Russia aliwahi kuchimba mkwara, Assad yupo wapiUSA Hana uwezo wa kumvimbia russia.kapambana Ukraine akisaidiwa na NATO mpaka Leo hajafanikiwa amepoteza Dola nyingi sanaa
Watu wanamchukulia urusi kama mchumba ,ila anavimba na marekani anatulia tuliiUSA Hana uwezo wa kumvimbia russia.kapambana Ukraine akisaidiwa na NATO mpaka Leo hajafanikiwa amepoteza Dola nyingi sanaa
Sawa yanatumika yameketa effect gani?Hana uwezo wakati unaona makombora ya US yanatumika Ukraine na Russia aliwahi kuchimba mkwara, Assad yupo wapi
Mji wa kursk oblast vipiSawa yanatumika yameketa effect gani?
Marekani anaujua mziki wa Russia. Wale wamarekani waliokwama kule anga za mbali aliulizwa Elon musk akasema mwenye uwezo wa kuwaokoa ni warusi kwa situation kama ile marekani walimind sana ile kauli yake.Watu wanamchukulia urusi kama mchumba ,ila anavimba na marekani anatulia tulii
Jeshi la Urusi hii Leo limeuzuia msafara wa Majeshi ya Marekani uliokua unataka kuingia katika mji Qamishlo nchini Syria na kuualazimisha kugeuza kurudi ulipotoka.
Source: Visegrad24 X account