Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
- #21
Hiyo ni military zone Russia amehamisha raia wote hilo eneo.Mji wa krusk vipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni military zone Russia amehamisha raia wote hilo eneo.Mji wa krusk vipi
Assad siyo mpango kwa sasa watu Wana focus mbeleeKwahiyo warusi wanamrudisha Assad?
Haina faida yoyote ikiwa Russia imeshindwa kumlinda mshirika wakeHii habari inaelezea kupigwa block kwa Majeshi ya Majeshi ya Marekani na Urusi huko Syria
Subiri majibu utayapataHaina faida yoyote ikiwa Russia imeshindwa kumlinda mshirika wake
Lini?Subiri majibu utayapata
Marekan Hana uhatari wowote kwasasa labda zaman...kashapoteza ushawishi na anaendelea kupoteza ushawishi...Marekani ni zaidi ya hatari ni suala la muda tu warusi watanyosha maelezo wanafanya haya mambo kwa faida ya nani? Urusi imekuwa kama malaya aliyeshindwa kumtunza mke wahuni wakamchukua ila amebaki kulazimisha show kwa mke wa mtu.
Ewaah ata mm nshawahi skia kuna sehemu kwenye mambo ya Anga wanategemeana kwahio lazima kila mtu amuheshimu mwenzake kimtindoMarekani anaujua mziki wa Russia. Wale wamarekani waliokwama kule anga za mbali aliulizwa Elon musk akasema mwenye uwezo wa kuwaokoa ni warusi kwa situation kama ile marekani walimind sana ile kauli yake.
Marekani sasa hivi hategemei tena shuttle za Russia kwenda Anga za mbali.Ewaah ata mm nshawahi skia kuna sehemu kwenye mambo ya Anga wanategemeana kwahio lazima kila mtu amuheshimu mwenzake kimtindo
Sawa mkuuMarekani sasa hivi hategemei tena shuttle za Russia kwenda Anga za mbali.
Udini na IQ ndogo inakusumbua na uko outdated. Hufwatiliii taarifa.Russia amewatambua HTS na tayari amewaruhusu kupandishwa bendera mpya ya Syria huko Moscow
Hawategemeani ila marekani anamtegemea mrusi. Na mrusi ndio mtu wa kwanza kutoka nje ya Dunia na kwenda anga za nje ya duniaEwaah ata mm nshawahi skia kuna sehemu kwenye mambo ya Anga wanategemeana kwahio lazima kila mtu amuheshimu mwenzake kimtindo
Watu kama nyie hamnisumbui hata kidogo. Nikileta taarifa za Russia hapa mnakimbilia kwenye udini mna IQ ndogo sana.Udini na IQ ndogo inakusumbua na uko outdated. Hufwatiliii taarifa.
Kajifunza kutengeneza ya kwake kama China alivyofunza kutengeneza International space station ya kwake.lakini mwalimu wao ni Russia hii haipingwi popoteMarekani sasa hivi hategemei tena shuttle za Russia kwenda Anga za mbali.
Sio kila ugomvi wa kuingilia upo mwingine wa kimkakati.
Jeshi la Urusi hii Leo limeuzuia msafara wa Majeshi ya Marekani uliokua unataka kuingia katika mji Qamishlo nchini Syria na kuualazimisha kugeuza kurudi ulipotoka.
Source: Visegrad24 X account
Ya Leo hii fuatilia link hiyo nimekuwekea. Meza hivo hivo hata kama inauma mkuuHii taarifa sio ya kipindi hiki.
Kwa jina lako nilitegemea ...... jibu hilo..........lakini kwani siku hizi marehemu wanazungumzaHaha wapita njiaa. Marekani anatafuta Nini Syria?