Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 6,696
- 6,734
Assad siyo mpango kwa sasa watu Wana focus mbelee
Washapotezwa. Iran wajiandae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Assad siyo mpango kwa sasa watu Wana focus mbelee
Nyie uwezo wenu ni kuchambua chura za kina kajala na hamisa mobeto; mambo ya kivita, hususani hayo ya mashariki ya kati, hamuyawezi tulieni tu. Hao ndo wanaoiendesha Dunia; wanajua vizuri wanachokifanya......nyie pigeni tu kelele Huku na vibwebwe vyenu.Hawa jamaa wa kirusi aidha ni wavuta bangi au walizaliwa nje ndoa ............asad kashatoka madarakani hawakuzuia wanakuja kuzuia wapita njia ..........kituko
Hata mbwa koko akikubwekea jiondokee mbali naye asikung'ate.Huwa wanakuwa na ukichaa.Sasa wanazuia nini wakati tayari ikulu ishaenda kwa HTS
Wewe uwezo wako ni upi?Hakuna ulichokariri zaidi ya wowowo la Kajala?Toa uchambuzi na ufafanuzi kuhusu mapambano na vita tuone.Siyo kumshambulia mtu kumbe vita unayoijua ni ya kwenye video games.Nyie uwezo wenu ni kuchambua chura za kina kajala na hamisa mobeto; mambo ya kivita, hususani hayo ya mashariki ya kati, hamuyawezi tulieni tu. Hao ndo wanaoiendesha Dunia; wanajua vizuri wanachokifanya......nyie pigeni tu kelele Huku na vibwebwe vyenu.
Mimi sijaichambia vita yoyote na Wala sina uwezo huo. Uwepesi wa alichokiandika ndiyo ulionifanya nimjibu vile. Nafikiri mambo ya mashariki ya kati yametuzidi mno.....hatuyaelewi, hatuyajui. Kuna kelele za kishabiki tu humuWewe uwezo wako ni upi?Hakuna ulichokariri zaidi ya wowowo la Kajala?Toa uchambuzi na ufafanuzi kuhusu mapambano na vita tuone.Siyo kumshambulia mtu kumbe vita unayoijua na ya kwenye video games.
Umejiaminisha kwamba kila mtu hajui chochote kuhusu mashariki ya kati humu JF?Mimi sijaichambia vita yoyote na Wala sina uwezo huo. Uwepesi wa alichokiandika ndiyo ulionifanya nimjibu vile. Nafikiri mambo ya mashariki ya kati yametuzidi mno.....hatuyaelewi, hatuyajui. Kuna kelele za kishabiki tu humu
Yeah, kwa 100%. Hitimisho langu limetokana na uchunguzi wangu wa michango ya wajumbe humu kwa muda mrefu.......ni porojo tu na hisia na kuchamba.Umejiaminisha kwamba kila mtu hajui chochote kuhusu mashariki ya kati humu JF?
Nakuuliza swali la kijinga:Kama wote humu JF hawajui kuhusu mashariki ya kati ukiwemo wewe,sasa umejuaje kama hawajui chochote?Yeah, kwa 100%. Hitimisho langu limetokana na uchunguzi wangu wa michango ya wajumbe humu kwa muda mrefu.......ni porojo tu na hisia na kuchamba.
Kumtambua mtu aliyekushinda haina maana kwamba mmeshinda wote, ila ni kunyoosha mikono juuRussia amewatambua HTS na tayari amewaruhusu kupandishwa bendera mpya ya Syria huko Moscow
Ni rahisi tu; miliki common sense Kisha fuatilia michango ya wanajf hapa kuhusu vita ya mashariki ya kati.....hususani tangu pale vita yao ilipopamba moto zaidi.Nakuuliza swali la kijinga:Kama wote humu JF hawajui kuhusu mashariki ya kati ukiwemo wewe,sasa umejuaje kama hawajui chochote?
Swali la msingi;Umeeleza humu JF wote ukiwemo wewe hatuna tunalolijua kuhusu hayo.Sasa wewe umejuaje kitu usichokijua kama sisi wenzako?Ni rahisi tu; miliki common sense Kisha fuatilia michango ya wanajf hapa kuhusu vita ya mashariki ya kati.....hususani tangu pale vita yao ilipopamba moto zaidi.
Nimekwambia hv, miliki common sense tu. Mi ninamuliki tayari ndo maana nakwambia hivyo.Swali la msingi;Umeeleza humu JF wote ukiwemo wewe hatuna tunalolijua kuhusu hayo.Sasa wewe umejuaje kitu usichokijua kama sisi wenzako?
Hiyo ni tafsiri yakoKumtambua mtu aliyekushinda haina maana kwamba mmeshinda wote, ila ni kunyoosha mikono juu
Izo Dollar zinazopotea zinalipwa na wewe unayetumia mtandao wa mmarekani. Wewe unajivinjari kwenye youtube, android na ios faida unapeleka marekani wanagaramia vita alafu unakuja kubwabwaja apa kwa mtandao. Akili usipokuwa nayo nikulopoka tuuuuUSA Hana uwezo wa kumvimbia russia.kapambana Ukraine akisaidiwa na NATO mpaka Leo hajafanikiwa amepoteza Dola nyingi sanaa
Uturuki nayo inatakiwa iwe makini Sana maana Israel na marekani hawataiacha iwe salama na kuendelea kuwa na nguvu hapo mashariki ya kati.Uturuki ndio atakuwa kawatuma warussia maana Marekani anataka kuwasaidia wakurdi na Uturuki hataki hata kuwasikia
Nchi ambazo marekani hataaakikisha anaweka mikakati ziingie kwenye matatizo kama ya Pakistan ni :-Uturuki nayo inatakiwa iwe makini Sana maana Israel na marekani hawataiacha iwe salama na kuendelea kuwa na nguvu hapo mashariki ya kati.
Middle East ni uwanja fujoJeshi la Urusi hii Leo limeuzuia msafara wa Majeshi ya Marekani uliokua unataka kuingia katika mji Qamishlo nchini Syria na kuualazimisha kugeuza kurudi ulipotoka.
Source: Visegrad24 X account
We kenge kweli kwahiyo ulitaka nitumie Bure? Nawao si wanalipia Kodi Serikalini ili wewe ulale usingizi kwa amani ukijijambia hovyo hovyo.Izo Dollar zinazopotea zinalipwa na wewe unayetumia mtandao wa mmarekani. Wewe unajivinjari kwenye youtube, android na ios faida unapeleka marekani wanagaramia vita alafu unakuja kubwabwaja apa kwa mtandao. Akili usipokuwa nayo nikulopoka tuuuu
Sasa urusi anafanya nini hapo Syria wakati Asad kashapinduliwa?Jeshi la Urusi hii Leo limeuzuia msafara wa Majeshi ya Marekani uliokua unataka kuingia katika mji Qamishlo nchini Syria na kuualazimisha kugeuza kurudi ulipotoka.
Source: Visegrad24 X account
Marekani anafanya Nini?Sasa urusi anafanya nini hapo Syria wakati Asad kashapinduliwa?