Haya ni majungu kabisaa.
Mwacheni dada wa watu khaa, kiduka chenyewe kile ndo cha kushitakiwa jukwaa kama hili?
Mkiendekeza kuleta habari za wivu fitina na majungu hata huyo Magufuli kama anapitia humu ataishia kupuuza hata hoja zenye mashiko.
Acheni wivu jamani.
Mwacheni dada wa watu khaa, kiduka chenyewe kile ndo cha kushitakiwa jukwaa kama hili?
Mkiendekeza kuleta habari za wivu fitina na majungu hata huyo Magufuli kama anapitia humu ataishia kupuuza hata hoja zenye mashiko.
Acheni wivu jamani.