Jestina George wa Zurii nae tunduni, halipi kodi duka lake liko kizuizini

Jestina George wa Zurii nae tunduni, halipi kodi duka lake liko kizuizini

Haya ni majungu kabisaa.
Mwacheni dada wa watu khaa, kiduka chenyewe kile ndo cha kushitakiwa jukwaa kama hili?
Mkiendekeza kuleta habari za wivu fitina na majungu hata huyo Magufuli kama anapitia humu ataishia kupuuza hata hoja zenye mashiko.
Acheni wivu jamani.
 
Wamemuonea TRA hiyo ni zuga tu wannacha kuwakamata mapapa wanawakamata hao wadogo
 
Hakuna hoja uliyo leta mkuu... Kama ulimtongoza akakukataa kunywa Vodka wiki moja utatulia.... acha umburula bana hili sio jukwaa la watu wajinga wajinga kama wewe.... mods plz ondoa huu upuuzi.....

Mbna kama umeumia sana na huu uzi Mzee
 
i don do girls hata kama ingekua hvyo sio yule lady
sina chuki nae hata chembe ila bil 80 walikula wengi ZITARUDI

Ndugu yangu mamii90..
Hulichofanya ni sahihii, umeripoti JIZI katika wale majizi wanaosakwa na TRA, hawa wanaokupinga wanaweza wakawa nakamchezo kama ka huyo jizi..

kazi njema mamie..
 
Ndugu yangu mamii90..
Hulichofanya ni sahihii, umeripoti JIZI katika wale majizi wanaosakwa na TRA, hawa wanaokupinga wanaweza wakawa nakamchezo kama ka huyo jizi..

kazi njema mamie..
mi nashangaa watu wanatoka povu
bila kuweka ushahidi
mi nimeweka picha ya pili hapo duka lake lipo kizuizini
na clip kibao zinasamba wakati likiwa linafungwa
kama ingekuwa nimetunga nadhani hata mods wangeutoa
na wanaopinga ni wale walee

kama mpaka duka lake limewekwa kizuizini WATU BADO hawataki kukubali kwamba bil80 wamekula wengi
hapa kazi tu,ujanja ujanja sasa basi
 
mi nashangaa watu wanatoka povu
bila kuweka ushahidi
mi nimeweka picha ya pili hapo duka lake lipo kizuizini
na clip kibao zinasamba wakati likiwa linafungwa
kama ingekuwa nimetunga nadhani hata mods wangeutoa
na wanaopinga ni wale walee

kama mpaka duka lake limewekwa kizuizini WATU BADO hawataki kukubali kwamba bil80 wamekula wengi
hapa kazi tu,ujanja ujanja sasa basi

Mbona humu jamii forum majizi ndipo yalipojaa, hayalipi kodi, kila siku sifa tu saizi roho inayauma, na nna muomba magufuli atumbue mpk vijipu vidogo hivi, sisi wafanyakazi tunakamuliwa kodi hata kupumua hatupumui, minhine ipo tu humu. Mwaka huu watakufa na kihoro, *****
 
Ndugu yangu mamii90..
Hulichofanya ni sahihii, umeripoti JIZI katika wale majizi wanaosakwa na TRA, hawa wanaokupinga wanaweza wakawa nakamchezo kama ka huyo jizi..

kazi njema mamie..

Haya ni majungu kabisaa.
Mwacheni dada wa watu khaa, kiduka chenyewe kile ndo cha kushitakiwa jukwaa kama hili?
Mkiendekeza kuleta habari za wivu fitina na majungu hata huyo Magufuli kama anapitia humu ataishia kupuuza hata hoja zenye mashiko.
Acheni wivu jamani.

Hii mbona kama ni personal attack.... usije kuwa ulimchumbia akakutolea nje ukaamua kumleta hapa.... mods ondoa huu upuuzi.... hili jukwaa sio la blabla.... njoo na uthibitisho na sio kumshambulia mtu tu....

Haya mengine majungu sasa..kama amekuzidi kipato pambana hacha majungu

ka huna pesa...kwenda kwenye mitumba au kariakoo...mfugo

hii haifai kukaa jukwaa la siasa....... peleka kwenye udaku!

Mods mnaeza ondoa huu uzi hapa tafadhali?

Muache mwenzio afanye shughuli zake

Mbna kama umeumia sana na huu uzi Mzee

Uzi umekua mchungu kama shubiri.
Lakini mleta mada kaleta habari ya kweli na tena yenye ushahidi.
Kama mlengwa ni best yenu ndo hivo tena ila hamna haki ya kumshambulia mleta mada.

Na hivyo vilio vyenu kwa mod wala havitasikilizwa.

Yale makontena yalikuwa na bidhaaa za wabongo na wala sio watu wa nje. Yaani usiombe kukutwa na kontena mojawapo.
Utatia huruma na pingu juu.
Ukweli ndo huo hata mkilia wala kutukana. Kuna hiyo dhana katika mada lakini sijaona ushahidi wake katika kilichopostiwa.

Na kama wewe ulikuwa unafanya biashara ya magumashi lazima kibume tu.
 
Mbona sapna ilivyopigwa pin watu mlishangilia? Mbona Bakhresa mlishangilia? Eti uzi utokee, uende wapi? Kama si sahihi kilichorushwa kiteteeni na si mods wakitoe. Ukiona mwenzako ananyolewa......
 
Mbona humu jamii forum majizi ndipo yalipojaa, hayalipi kodi, kila siku sifa tu saizi roho inayauma, na nna muomba magufuli atumbue mpk vijipu vidogo hivi, sisi wafanyakazi tunakamuliwa kodi hata kupumua hatupumui, minhine ipo tu humu. Mwaka huu watakufa na kihoro, *****
watu hawalipi kodi wengi ndo maana wanaumia sana hapa
lazima tuheshmiane
kila mtu alipe kodi
#hapa kazi tu
 
Wamemuonea TRA hiyo ni zuga tu wannacha kuwakamata mapapa wanawakamata hao wadogo

Unadai TRA wanawaacha mapapa sio?
Acha kutudanganya hapa kwani habari ziko wazi.
Bakhresa kapigwa pin ICD yake ina mnyororo kama duka la best yako na meneja wake kavishwa 'bangili' na wazee wa kazi.
Home Shopping Centre hali yao ni tete.
Uda wanaosemekana wako na link ya wakulu wanapigwa pini kila kona.
Sasa wewe ndo mleta majungu na kulialia hovyo uwachafue watu bila sababu
 
Kodi za milion au madeni ya milion mbili ndio mnaleta humu..kwa wafanyabiashara ni TIN namba chache sana ambazo hazidaiwi hasa ukizingatia kuna sintofahamu ya EFD..unadhani kufunga duka na unamdai atalipa vp kama si kufanya udanganyifu zaidi ni swala la kukaa na kumpa muda alipe kodi mbona wafanyabiashara wakubwa kisheria wanaongezewa muda wa kulipa kodi kwa kitu ambacho akijalipwa kodi kwa mfumo wao wa custum bonded..
 
Uzi umekua mchungu kama shubiri.
Lakini mleta mada kaleta habari ya kweli na tena yenye ushahidi.
Kama mlengwa ni best yenu ndo hivo tena ila hamna haki ya kumshambulia mleta mada.

Na hivyo vilio vyenu kwa mod wala havitasikilizwa.

Yale makontena yalikuwa na bidhaaa za wabongo na wala sio watu wa nje. Yaani usiombe kukutwa na kontena mojawapo.
Utatia huruma na pingu juu.
Ukweli ndo huo hata mkilia wala kutukana. Kuna hiyo dhana katika mada lakini sijaona ushahidi wake katika kilichopostiwa.

Na kama wewe ulikuwa unafanya biashara ya magumashi lazima kibume tu.
watu wanadhani hizo kontena zilikua za msumbiji au malawi

hzo ni za wabongo na zilikuwa na bidhaa za wabongo
na sio kontena 300+ zilikua za mtu mmoja BALI NI WENGI SANA wengine wapo humu
kila mtu alipe kodi ili elimu,afya iwe bure
 
Ndio shida ya wabongo...
Wakwepa kodi wadogo na wakubwa wote wana hatia...
Mnataka aandikwe Bakhresa tu?????
Magufuli kamata wote...
NI wajibu wa kila mwananchi kulipa kodi...
Tena muanze kufunga na maduka yasiyotoa risiti
 
Uzi umekua mchungu kama shubiri.
Lakini mleta mada kaleta habari ya kweli na tena yenye ushahidi.
Kama mlengwa ni best yenu ndo hivo tena ila hamna haki ya kumshambulia mleta mada.

Na hivyo vilio vyenu kwa mod wala havitasikilizwa.

Yale makontena yalikuwa na bidhaaa za wabongo na wala sio watu wa nje. Yaani usiombe kukutwa na kontena mojawapo.
Utatia huruma na pingu juu.
Ukweli ndo huo hata mkilia wala kutukana. Kuna hiyo dhana katika mada lakini sijaona ushahidi wake katika kilichopostiwa.

Na kama wewe ulikuwa unafanya biashara ya magumashi lazima kibume tu.

Kabisa kabisa
 
Kodi za milion au madeni ya milion mbili ndio mnaleta humu..kwa wafanyabiashara ni TIN namba chache sana ambazo hazidaiwi hasa ukizingatia kuna sintofahamu ya EFD..unadhani kufunga duka na unamdai atalipa vp kama si kufanya udanganyifu zaidi ni swala la kukaa na kumpa muda alipe kodi mbona wafanyabiashara wakubwa kisheria wanaongezewa muda wa kulipa kodi kwa kitu ambacho akijalipwa kodi kwa mfumo wao wa custum bonded..
nenda kwenye point
INAMAANA WATU KUTOKULIPA KODI NI SAWA?hata kama 500??
 
Back
Top Bottom