Jestina George wa Zurii nae tunduni, halipi kodi duka lake liko kizuizini

Jestina George wa Zurii nae tunduni, halipi kodi duka lake liko kizuizini

hahaha eti personal attack

mwaka huu mtafidia miaka yote mliokula

Ni hatua nzuri kwa TRA kufanya wote wanaoingiza kipato walipe kodi stahiki.Umesema juzi ali-post kitu hapa,anatumia ID gani jf?
 
Sidhani kama duka tu ndo limemfanya afungiwe duka kwa kutokulipa kodi..mhh jestina alikua anafanya biashara ya kuimport vitu kwa makontena na vijimizigo vidogo vidogo nadhani hii ndo itakua imemletea hii shida..pole yake jaman..ila unaambiwa mwenzio akinyolewa zako tia maji..si ajabu na ndugu zenu wamo kwenye mkumbo huu wa kukwepa kodi..jiandaeniiii na tingatinga mtumbua majipu..
hata kama kuna ndugu zetu wakamatwe tu hamna namna,
wafanyakazi wanakatwa kodi kubwa sana
acha nawafanyabiashara nao wawajibike
 
Naona uzi umekuwa mchungu sana humu kumbe list ya wakwepa kodi ni kubwa sana
 
Where did the Jesus lady disappear to? Jesus Pedro Hector Camacho may want to have his way with her, missionary position of course.
 
The fact is..kila mtu alipe kodi..watu wanalipa ma payee ya hatari..alipe tu no way out!
 
Hii fursa naiona nitaanzisha chuo cha kuwafundisha watu kuishi ndani ya kipato Chao halali am sure kitanilipa.Maana naanza kuona vitambi vya jinsia yote vinaisha bila kwenda gym lile eneo kila baada ya nyumba bar nazo zita dissappear kwa kasi ya usein bolt duh na kale kawimbo kuwa ni ileile watu watakataa na kusema hapana hii ni nyingine.
 
Mi naona tra kama vile walikata tamaaa fikir wwe unakusany hela wenzio wanatumbua, bhas na wao wakajiongeza kiufup kila mtu alikuwa anafany yake
 
Back
Top Bottom