JET LI amkabidhi mkewe umiliki wa mali zake zote

JET LI amkabidhi mkewe umiliki wa mali zake zote

Sidhani kama ni Limbwata, Wana miaka 37 ya ndoa hao. Jamaa anajua anachofanya.
Mimi nina 22yrs katika ndoa lakini alilofanya Jet Lee naweza kulifanya pasina shaka hata punje(japo sijafanya). Kuna type ya wanawake if you've lived with them through thick and thin unajua ni yapi hawawezi kuyafanya na ni yapi wanaweza though as the saying goes "never trust a woman" hivyo kazi kwenu wananzengo kusuka au kunyoa.
 
Ana haki ya kumkabidhi Mali na vitu vyake vyote, Kwa maana kutoka waanze mahusiano Mwaka 1988 hadi Kufunga Ndoa Mwaka 1999 inaonesha ametumia miaka 11 kumchunguza na kumjua

Ila angeweza, angekuwa na akiba ya Mali zake Kwa jina lake japo asilimia 25 ya anachomiliki

Hawa wake zetu, hawachelewi kubadirika wakibadirishwa

Unaweza kukuta unaishia kuwa Omba omba pamoja na Mali na fedha nyingi ulizofanikiwa kuzichuma

Kila la heri kwao, miaka 37 ya mahusiano na Ndoa sio mchezo

Huku Kibongo Bongo, Kuna mahusiano hayamalizi miezi 6 tangu Kufunga Ndoa na kuachana 🙌
 
Mimi nina 22yrs katika ndoa lakini alilofanya Jet Lee naweza kulifanya pasina shaka hata punje(japo sijafanya). Kuna type ya wanawake if you've lived with them through thick and thin unajua ni yapi hawawezi kuyafanya na ni yapi wanaweza though as the saying goes "never trust a woman" hivyo kazi kwenu wananzengo kusuka au kunyoa.
Nakuaelewa sana mkuu wangu.
 
Jet li itakuwa amepewa style ya shaolin kaona yasiwe mengi.........................ila bikra .........nasema tena chagua bikraaa kama sio bikraaa kataa ndoa
 
Back
Top Bottom