M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
Mimi nina 22yrs katika ndoa lakini alilofanya Jet Lee naweza kulifanya pasina shaka hata punje(japo sijafanya). Kuna type ya wanawake if you've lived with them through thick and thin unajua ni yapi hawawezi kuyafanya na ni yapi wanaweza though as the saying goes "never trust a woman" hivyo kazi kwenu wananzengo kusuka au kunyoa.Sidhani kama ni Limbwata, Wana miaka 37 ya ndoa hao. Jamaa anajua anachofanya.
Sasa unasubiri nini kumkabidhi?Mimi mwenyewe mke wangu ni aina Mwanamke ninayeweza nikamkabidhi kila kitu na maisha yakaendelea, ila siwezi nikahauri watu wawaamini wanawake kiasi changu ingawa mimi sitaacha kumuamini kiasi hiki sababu hayupo sawa na hao
Kitambo sana nimemkabidhi, ila kwa ninayoyaona huku nje, sikushauri ufanye kama mimiSasa unasubiri nini kumkabidhi?
Nakuaelewa sana mkuu wangu.Mimi nina 22yrs katika ndoa lakini alilofanya Jet Lee naweza kulifanya pasina shaka hata punje(japo sijafanya). Kuna type ya wanawake if you've lived with them through thick and thin unajua ni yapi hawawezi kuyafanya na ni yapi wanaweza though as the saying goes "never trust a woman" hivyo kazi kwenu wananzengo kusuka au kunyoa.
Over copyMayday..... mayday....One man down over
One man down, I repeat again one man down, we need a back up, ova.One man DOWN
Asante kwa ufafanuzi, kuna wakati iliwahi kusemekana ana kansa ya koo nadhani ilikuwa ni uvumi.Sio kansa mzee hyperthyroidism
Ndio hio hyperthyroidismAsante kwa ufafanuzi, kuna wakati iliwahi kusemekana ana kansa ya koo nadhani ilikuwa ni uvumi.
Hapana, hyperthyroidism ni tatizo la tezi dume.Ndio hio hyperthyroidism
Cc:One man DOWN
code redOne man DOWN
😂😂 waione kwenye jalada