NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Simba wanajezi kali na wameuza sana kwa walaji/mshabiki.jezi zimepatikana kwa wakati na sehemu zinazofahamika kwa vunja bei.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu uzi wa simba hatari, tena sisi watu wa mazoezi unaona mugalu alivyoiva nao. Uzi kinandaJezi ipi kali kati ya Simba na ile ya Yanga kwa msimu huu 2021/22
View attachment 1922111
View attachment 1922112
View attachment 1922113
View attachment 1922114
View attachment 1922115
View attachment 1922116
View attachment 1922122
Uto vilaza sana. Kwako matangazo ndio ubunifuJezi la mikia ubunifu 0,jezi gani hilo,mo foundation,mo 29,mo chungwa,mo coconut,,vunja bei sinza,vunja bei mbeya,mpk soksi zina mo foundation,jezi ina full makolokolo,halafu mkiitwa makolokolo fc mnanuna! Shadeeya njoo uone jezi za mikia
Jezi lina hadi tarehe ya kuzaliwa mudy mo 29!Uto vilaza sana. Kwako matangazo ndio ubunifu
/Stephen MapundaTruth be told...ushabiki kando
Timu zote zina jezi kali (home and away kits), kasoro kidogo tu kwenye jezi ya Simba ni hayo maneno kuzunguka ufito wa kola hapo mbele...
Kit ya Yanga ile njano na Simba ile nyeupe, binafsi naziona zitauzika sana kwa mashabiki maana zinavalika...
Kit #3 na ile ya michezo ya kimataifa, timu zote hazijaitendea haki hiyo kit...
Kwa ujumla tumejitahidi sana wabongo kwenye masuala ya jezi, kwa walio wapenzi wa mpira wa miaka yote mnaweza mkakumbuka yale majezi ya zamani ya timu zetu, mtu kama Kevin Mapunda alikuwa akivaa jezi utadhani kashonewa nguo iliyomzidi umri...
Steven
/Stephen Mapunda