Jezi ipi kali kati ya Simba na Yanga?

Simba wanajezi kali na wameuza sana kwa walaji/mshabiki.jezi zimepatikana kwa wakati na sehemu zinazofahamika kwa vunja bei.
 
Jezi la mikia ubunifu 0,jezi gani hilo,mo foundation,mo 29,mo chungwa,mo coconut,,vunja bei sinza,vunja bei mbeya,mpk soksi zina mo foundation,jezi ina full makolokolo,halafu mkiitwa makolokolo fc mnanuna! Shadeeya njoo uone jezi za mikia
Uto vilaza sana. Kwako matangazo ndio ubunifu
 
Steven
/Stephen Mapunda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…