usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
Chelsea hawajui wanataka nn tangu wameachana na Samsung, wanahangaika kama mwanamke amekosa pad!View attachment 2628009Chelsea home kit.
Logo ya mdhamin pia hua inamata Sana
Kunogesha uzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chelsea hawajui wanataka nn tangu wameachana na Samsung, wanahangaika kama mwanamke amekosa pad!View attachment 2628009Chelsea home kit.
Unaangalia kunogesha uzi ama pesa iliyowekwa ili mdhamini akae kifuani?Chelsea hawajui wanataka nn tangu wameachana na Samsung, wanahangaika kama mwanamke amekosa pad!
Logo ya mdhamin pia hua inamata Sana
Kunogesha uzi.
Sawa pesa n ya maana ila ndo wahangaike na makampuni uchwara kila uchwao?Unaangalia kunogesha uzi ama pesa iliyowekwa ili mdhamini akae kifuani?
Unasemaje uchwara wakati wanaweka pesa nzuri Chief?Sawa pesa n ya maana ila ndo wahangaike na makampuni uchwara kila uchwao?
10/10Liverpool wametoa uzi mpya kwa msimu ujao unawapa ngapi chini ya 10View attachment 2610676View attachment 2610677View attachment 2610678
safiGoalie's kitView attachment 2627818
7/10Juventus new home kitView attachment 2619123
Kali sanaView attachment 2628009Chelsea home kit.
Kwanini mkuuImetulia
Ila siwezi ivaa
Man UTDKwanini mkuu
Lakin value Yao haidumu kwenye club season moja Tu wameenda?Unasemaje uchwara wakati wanaweka pesa nzuri Chief?
9/10 Uzi mkali sanaLiverpool wametoa uzi mpya kwa msimu ujao unawapa ngapi chini ya 10View attachment 2610676View attachment 2610677View attachment 2610678
Adidas wanapatiaga sana isipokuwa kwa Man UtdImetulia
Now wamebadili mdhaminiView attachment 2628009Chelsea home kit.
Nike wamejitahidi9/10 Uzi mkali sana