Jezi mpya za Simba kwa msimu wa 2021/22 zavuja

Jezi mpya za Simba kwa msimu wa 2021/22 zavuja

Bado sana hawa vilaza kwenye kazi hizi za viwalo[emoji3525][emoji3525][emoji3525]

Hizi usikute ka dizaini chakula ya bosi Hamisa mobeto[emoji1787][emoji1787]
Kama jezi za volleyball!!! [emoji16]
Mama j fc
 
propaganda machinery ya msomali inakula sana hela zake jumamosi jezi zikizinduliwa utasikia walirudi kiwandani fastaaa
 
Bado sana hawa vilaza kwenye kazi hizi za viwalo[emoji3525][emoji3525][emoji3525]

Hizi usikute ka dizaini chakula ya bosi Hamisa mobeto[emoji1787][emoji1787]
Kama jezi za volleyball!!! [emoji16]
akili za wanayanga zipo kwa kapumbu na mama j
 
Wewe waache tar 4 wataaibika,walishazoea kudanganywa,si uliona walikuwa wanamsubiri kwa hamu Luis siku ya Kilele cha Mwananchi,matokeo yake wakakutana na Kapumbu.
uandahani hawajui kwamba ni propaganda,nitashangaa sana anayewehuka na hii issue wakati jezi zinatoka jumamosi ila this is good for business tena sana tuu tension ya kusubiria jumamosi ni kubwa sana
 
Hii ni jezi au tambala la kudekia chooni.?

Mo tuachie team yetu janja janja wewe
Unauwezo wa kumlipa hata mfagiaji wa bungu uwanja wa mazoezi kweli au stress tu mautopolo.yako
 
MMESHAU NA HIZI SAMPLES PIA ZILITUMIKA KWENYE ILE JERSEY CHALLENGE...MKAPRINT KABISA NA KUSAMBAZA MITANDAONI
5.jpeg
 
makachero wangu wanendelea kunitumia picha za jezi za simba inasemekana kuna design 6 tofauti zikiwemo za mazoezi na misafara..nyingine mshaona zimevujishwa tayari nawaongezea na hizi nimeambiwa baada ya dakika kumi natumiwa nyingine tena

7.jpeg
8.jpeg
 
Back
Top Bottom