Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Tulieni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama j fcBado sana hawa vilaza kwenye kazi hizi za viwalo[emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Hizi usikute ka dizaini chakula ya bosi Hamisa mobeto[emoji1787][emoji1787]
Kama jezi za volleyball!!! [emoji16]
Concept tu iyo mtu amebuni na sio jezi kamili ya simba
akili za wanayanga zipo kwa kapumbu na mama jBado sana hawa vilaza kwenye kazi hizi za viwalo[emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Hizi usikute ka dizaini chakula ya bosi Hamisa mobeto[emoji1787][emoji1787]
Kama jezi za volleyball!!! [emoji16]
uandahani hawajui kwamba ni propaganda,nitashangaa sana anayewehuka na hii issue wakati jezi zinatoka jumamosi ila this is good for business tena sana tuu tension ya kusubiria jumamosi ni kubwa sanaWewe waache tar 4 wataaibika,walishazoea kudanganywa,si uliona walikuwa wanamsubiri kwa hamu Luis siku ya Kilele cha Mwananchi,matokeo yake wakakutana na Kapumbu.
Hata km ndio hzo zina ubaya gani..? Utafananisha na ile mikusanyiko ya wafu kwenye zile wallpapers za manyani fcNyie makokolo mkiambiwa sisi tuna watu mnakataa,hii ndio taka taka yenu,jezi hazina hata mvuto,kolo.mnatia huruma hizi ndio jezi za kuzishindanisha na za Yanga
View attachment 1920130
View attachment 1920131
Unauwezo wa kumlipa hata mfagiaji wa bungu uwanja wa mazoezi kweli au stress tu mautopolo.yakoHii ni jezi au tambala la kudekia chooni.?
Mo tuachie team yetu janja janja wewe
Huu mkali ikitokea ukawa huu poa tu uko.bomba saana kwa kiasi chake hautafanana na ile mikusanyiko ya wafu huko kuzimu utopoloniMMESHAU NA HIZI SAMPLES PIA ZILITUMIKA KWENYE ILE JERSEY CHALLENGE...MKAPRINT KABISA NA KUSAMBAZA MITANDAONI
View attachment 1920250