nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
hao utopolo walichofanya ni kudesign ujinga wao na ku print kuzua taharuki ila msomali wanakula sana hela zake kibwege..jersey challenge ilifanyika jezi zilitengenzwa nyingi sanaHuu mkali ikitokea ukawa huu poa tu uko.bomba saana kwa kiasi chake hautafanana na ile mikusanyiko ya wafu huko kuzimu utopoloni