Zililetwa hapa watu wakasema ni fake,sasa mzigo wenyewe huu hapa. View attachment 1921881View attachment 1921888
tumia akili brother hizo jezi unaziona zipo sehemu gani hapo?Haya wale waliokuwa wanabishia... Mzigo huo hapoooView attachment 1921899View attachment 1921900
Duuuh, msimu huu sihitaji jezi, ndo nini sasa hiyo mineno chini ya kola, mbele. Inabidi mashabiki wawaachie wachezaji tu hizo jezi, wasizinunue ili kuwafundisha jinsi ya ku-design jezi nzuri zisizo na mi neno isiyo na tija.
OKW BOBAN SUNZU tulipowaambia sisi tuna watu akadai vunja bei anazuga,hiyo mijezi watu washafyatua fake kibao pa1 na huyo vunja price mwenyewe
Jumamosi ipi tena? Tayari huko
tumia akili brother hizo jezi unaziona zipo sehemu gani hapo?
Japo sijawahi kununua jezi ya Simba wallah ikitoka hii mimi nitanunua hata iwe 50,000 maana ni kali mno
Labda huyo shemeji yako Mume wa Dada yako awanunulie yeye.Haya tukusaidieje? Unaonaje ukinywa maji ukapunguza hilo povu mdomoni! Tunanunua kwa sana tu na kuvuja kwake,mradi hakuna tu Vibwengo kwa hizo jezi
Labda huyo shemeji yako Mume wa Dada yako awanunulie yeye.
Acha uwaki, wapi umeombwa msaada?Nikusaidieje kwa mfano?
Endelea kumpikia vizuri shemeji yako utapata jeziUkiwa utopolo akili zote kwa sasa mmemkabidhi Msukule
Yani mtu anashindwa tumia akiliUtawaweza utopolo?
Endelea kumpikia vizuri shemeji yako utapata jezi
Vunja Bei huko aliko hana hamu kabisa,ndio atajua Soka la Bongo na biashara yake lina wenyewe.Imekuaje Jezi imevuja na tuliaminishwa kwamba mzigo utakuwa exclusive? [emoji23]
Vunja Price Hana Hamu Wallah [emoji3]Vunja Bei huko aliko hana hamu kabisa,ndio atajua Soka la Bongo na biashara yake lina wenyewe.
Na hizi nazo unasemaje?Yani mtu anashindwa tumia akili
jezi zipo dukani zimetundikwa mtu kaona picha anasema zimevuja
Vunja bei ndio msambazaji wa jezi, jezi zinauzwa kwenye maduka yake alaf mtu anashindwa kutumia akili, kwamba maduka ya vunja bei yangefungwa mpaka hiyo siku ya uzinduzi?
Hakuna cha exclusive tena hapo!Imekuaje Jezi imevuja na tuliaminishwa kwamba mzigo utakuwa exclusive? [emoji23]