Kwanza sio kawaida yake mechi ya Simba au Yanga ikicheza lazima aende kwenye uzi wa takwimu kati ya Kibu na Mayele. Jana sijamuona.Imebidi aje tu hivyohivyo kwa kujikakamua sana.. Maana walikuwa wameupania mbaya huu uzi kama wangeshinda [emoji23]
Unbeaten kwa Interval ambazo ziko programmed na makosa ya waamuzi wala haishtuiHapa ulichemkma huu uzi ni wa matukio, timu yenye jezi nzito inapoteza mechi moja kwa mda interval ndefu kiasi hicho? au uzito upi unazungumzia
We mganga shibe ulikuwa wapi kuinusuru timu yako isifungwe?Huyu ni mganga njaa
Hizi pumba pelekea wafuga kukuKwanza sio kawaida yake mechi ya Simba au Yanga ikicheza lazima aende kwenye uzi wa takwimu kati ya Kibu na Mayele. Jana sijamuona.
Leo kama bahati namkuta hapa halafu ana behave kama hakuna kitu kilitokea, hii sijui ni roho ya aina gani...au kuna baadhi ya watu wana roho pea mbili
Nataka anuletee zile screenshot zake za Manula akiwa chini baada ya Azizi Ki kufunga goli kwa free kick. Namimi nimuoneshe new version ya jana kutoka kwa Diara ambayo ni incredible kuliko ya Manula
Huko shirikisho ulichukua kombe? au una bwatuka kama tejaRobo ya nini?
Upo shirikisho kama starting point uliyoamza nayo tangu mwanzo au upo hapo baada ya kufeli somewhere?
Unafurahia kucheza mashindano ya last chance baada ya ku blow up your first chance?
Eti unaongoza ligi, hii kauli bado inaendelea kumea hata baada ya kipigo cha jana ina maana umeshindwa kupambanua kujua why mnaongoza ligi?
Jana kutoka kwa Diara ambayo ni incredible kuliko ya Manula[emoji23][emoji1787][emoji23]Kwanza sio kawaida yake mechi ya Simba au Yanga ikicheza lazima aende kwenye uzi wa takwimu kati ya Kibu na Mayele. Jana sijamuona.
Leo kama bahati namkuta hapa halafu ana behave kama hakuna kitu kilitokea, hii sijui ni roho ya aina gani...au kuna baadhi ya watu wana roho pea mbili
Nataka anuletee zile screenshot zake za Manula akiwa chini baada ya Azizi Ki kufunga goli kwa free kick. Namimi nimuoneshe new version ya jana kutoka kwa Diara ambayo ni incredible kuliko ya Manula
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We mganga shibe ulikuwa wapi kuinusuru timu yako isifungwe?
Ilikuwaje mkakimbia?
View attachment 2590927
Naleta mafuriko japo ulitaka matoneHizi pumba pelekea wafuga kuku
Kipindi kile makombe hayakuwepo tulikuwa tunachezea sifa tu.Huko shirikisho ulichukua kombe? au una bwatuka kama teja
Inatosha mkuu [emoji23]Kipindi kile makombe hayakuwepo tulikuwa tunachezea sifa tu.
Ila hujasema chochote kuhusiana na hii picha au ndio kusema yale malalamiko kuhusu picha kutofunguka?View attachment 2591313
Walikuwa kero humu waache nao wapitie keroTupunguze makasiriko hii ni michezo tu brother
Hawezi kutulia tumefungwa na loserNchi imetulia sana
Ushirikina Koko wako umegonga mwambaOkay