Jezi ya Yanga ni 'NZITO'

Jezi ya Yanga ni 'NZITO'

Imebidi aje tu hivyohivyo kwa kujikakamua sana.. Maana walikuwa wameupania mbaya huu uzi kama wangeshinda [emoji23]
Kwanza sio kawaida yake mechi ya Simba au Yanga ikicheza lazima aende kwenye uzi wa takwimu kati ya Kibu na Mayele. Jana sijamuona.

Leo kama bahati namkuta hapa halafu ana behave kama hakuna kitu kilitokea, hii sijui ni roho ya aina gani...au kuna baadhi ya watu wana roho pea mbili

Nataka anuletee zile screenshot zake za Manula akiwa chini baada ya Azizi Ki kufunga goli kwa free kick. Namimi nimuoneshe new version ya jana kutoka kwa Diara ambayo ni incredible kuliko ya Manula
 
Hapa ulichemkma huu uzi ni wa matukio, timu yenye jezi nzito inapoteza mechi moja kwa mda interval ndefu kiasi hicho? au uzito upi unazungumzia
Unbeaten kwa Interval ambazo ziko programmed na makosa ya waamuzi wala haishtui

Na hatuiti makosa bali kulikuwa na special agenda kwasababu yale matukio haikua bahati mbaya
 
Huyu ni mganga njaa
We mganga shibe ulikuwa wapi kuinusuru timu yako isifungwe?

Ilikuwaje mkakimbia?

main-qimg-a74743d5fbf587cd3c99a193858a5da6.gif
 
Kwanza sio kawaida yake mechi ya Simba au Yanga ikicheza lazima aende kwenye uzi wa takwimu kati ya Kibu na Mayele. Jana sijamuona.

Leo kama bahati namkuta hapa halafu ana behave kama hakuna kitu kilitokea, hii sijui ni roho ya aina gani...au kuna baadhi ya watu wana roho pea mbili

Nataka anuletee zile screenshot zake za Manula akiwa chini baada ya Azizi Ki kufunga goli kwa free kick. Namimi nimuoneshe new version ya jana kutoka kwa Diara ambayo ni incredible kuliko ya Manula
Hizi pumba pelekea wafuga kuku
 
Robo ya nini?

Upo shirikisho kama starting point uliyoamza nayo tangu mwanzo au upo hapo baada ya kufeli somewhere?

Unafurahia kucheza mashindano ya last chance baada ya ku blow up your first chance?

Eti unaongoza ligi, hii kauli bado inaendelea kumea hata baada ya kipigo cha jana ina maana umeshindwa kupambanua kujua why mnaongoza ligi?
Huko shirikisho ulichukua kombe? au una bwatuka kama teja
 
Kwanza sio kawaida yake mechi ya Simba au Yanga ikicheza lazima aende kwenye uzi wa takwimu kati ya Kibu na Mayele. Jana sijamuona.

Leo kama bahati namkuta hapa halafu ana behave kama hakuna kitu kilitokea, hii sijui ni roho ya aina gani...au kuna baadhi ya watu wana roho pea mbili

Nataka anuletee zile screenshot zake za Manula akiwa chini baada ya Azizi Ki kufunga goli kwa free kick. Namimi nimuoneshe new version ya jana kutoka kwa Diara ambayo ni incredible kuliko ya Manula
Jana kutoka kwa Diara ambayo ni incredible kuliko ya Manula[emoji23][emoji1787][emoji23]
 
Haha
 

Attachments

  • 62784DF8-EB8C-4D42-8406-6AD591D604A9.jpeg
    62784DF8-EB8C-4D42-8406-6AD591D604A9.jpeg
    61.7 KB · Views: 8
  • B639C2CF-F998-4505-92D4-4BF9BF5EC613.jpeg
    B639C2CF-F998-4505-92D4-4BF9BF5EC613.jpeg
    51.4 KB · Views: 8
  • B4EEA3A9-0210-4DB3-87B9-5FE61B3051BA.jpeg
    B4EEA3A9-0210-4DB3-87B9-5FE61B3051BA.jpeg
    16.4 KB · Views: 8
  • D5E4A4D4-7982-4E1A-9E7D-C1D3BDC0CD42.png
    D5E4A4D4-7982-4E1A-9E7D-C1D3BDC0CD42.png
    137.9 KB · Views: 8
  • F4F38EBD-87EA-4AB6-B10B-DC9C9961D95C.jpeg
    F4F38EBD-87EA-4AB6-B10B-DC9C9961D95C.jpeg
    94.3 KB · Views: 8
Back
Top Bottom