Jezi ya Yanga ni 'NZITO'

Ungekuwa unajua mambo hayo ungeisaidia chadema Yako kunusa harufu ya usaliti wa kina Bi mdee!!.
Kumbe usaliti una harufu.[emoji23].. Kweli kuishi kwingi ni kuona mengi
 
Safari hii wachezaji wataota nundu migongoni. Siyo kazi nyepesi kucheza huku ukiwa na mzigo wa magofu ya misukule mgongoni na utando wa buibui .

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Hata uwezo wa kushona chupi ya hawala yako huna unaongelea jezi za timu?
 
Mtani Uzito Wa Jersey ya Yanga Unakuhusu Nn? Unaivaa?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hilo ndilo na mimi nilitaka kusema, ubunifu upo katika simplicity. Logo na hata jezi inabidi hata mtu wa kawaida tu aweze hata kuichora mwenyewe kwenye karatasi.

Sasa sisi wabunifu wetu ndiyo hawa. Ni kujazana ujinga tu kwenda mbele. Embu pitia uzi wangu mwingine ninaoiongelea CCM na YANGA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…