Jezi ya Yanga ni 'NZITO'

Jezi ya Yanga ni 'NZITO'

Unajua kwanini kinachoitwa mavazi rasmi huwa na rangi moja iliyotulia na zile ng'are ng'are zenye mapichapicha huvaliwa na barobaro?[emoji23]
Sio lazima kukariri.....you are the master of your own matrix......

Hao Ghana na Cameroon na world cup wamecheza na anaenda kucheza tena..
....wewe na Taifa stars majezi plain hadi leo kombe tu la Afrika majanga.......ingekua hivyo kama usemayo wewe basi hawa wangekua na magundu ya kutosha
images.jpeg-284.jpg
images.jpeg-283.jpg
images.jpeg-281.jpg
images.jpeg-280.jpg
 
Sio lazima kukariri.....you are the master of your own matrix......

Hao Ghana na Cameroon na world cup wamecheza na anaenda kucheza tena..
....wewe na Taifa stars majezi plain hadi leo kombe tu la Afrika majanga.......ingekua hivyo kama usemayo wewe basi hawa wangekua na magundu ya kutosha View attachment 2310616View attachment 2310617View attachment 2310618View attachment 2310619
Hapo kuna uniformity .. Sio randomly na sio vitu vingi kwa wakati mmoja kila kimoja na asili yake.. Hapo unaona kabisa kuna formula na kwa 90% hakuna uasili wa roho

Rudia kusoma hiki nilichoandika

Maumbo pia yana nguvu kubwa sana kiroho, na ndio maana watu huchukua muda mwingi kubuni ama kutumia umbo lenye uhai ama connection na roho.. Hapa sizungumzii uchawi na ushirikina vilabuni.. Ukitaka kujua nguvu ya maumbo tembelea majumba ya maonesho yenye maumbo na picha za vitu mbalimbali na ukae sehemu ya utulivu.. Hisia utakazopata ni tofauti kabisa na hisia utakazopata utakapoingia jumba lisilo na mapichapicha.. Hivi vitu huumba roho..

Michoro hasa yenye kuwakilisha vitu vyenye uhai hii ndio huwa hatari zaidi kama isipochaguliwa kwa umakini mkubwa.. Michoro ya maeneo, viumbe hai na chochote chenye kiasili na uhai imebeba maroho mazuri na mabaya
 
Hapo kuna uniformity .. Sio randomly na sio vitu vingi kwa wakati mmoja kila kimoja na asili yake.. Hapo unaona kabisa kuna formula na kwa 90% hakuna uasili wa roho

Rudia kusoma hiki nilichoandika

Maumbo pia yana nguvu kubwa sana kiroho, na ndio maana watu huchukua muda mwingi kubuni ama kutumia umbo lenye uhai ama connection na roho.. Hapa sizungumzii uchawi na ushirikina vilabuni.. Ukitaka kujua nguvu ya maumbo tembelea majumba ya maonesho yenye maumbo na picha za vitu mbalimbali na ukae sehemu ya utulivu.. Hisia utakazopata ni tofauti kabisa na hisia utakazopata utakapoingia jumba lisilo na mapichapicha.. Hivi vitu huumba roho..

Michoro hasa yenye kuwakilisha vitu vyenye uhai hii ndio huwa hatari zaidi kama isipochaguliwa kwa umakini mkubwa.. Michoro ya maeneo, viumbe hai na chochote chenye kiasili na uhai imebeba maroho mazuri na mabaya
Ngoja msimu uanze............jambo linapata nguvu pale tu unapoliamini, na kwenye ulimwengu wa kiroho mambo hayapo fixed, hio nayo ni kama sanaa kikubwa ni nguvu unayoiweka nyuma ya kile unachotaka kiwe
 
Ngoja msimu uanze............jambo linapata nguvu pale tu unapoliamini, na kwenye ulimwengu wa kiroho mambo hayapo fixed, hio nayo ni kama sanaa kikubwa ni nguvu unayoiweka nyuma ya kile unachotaka kiwe
Now you are talking..[emoji1545]
 
Hawa siku zote huwa wanaiponda sana Yanga

Yanga tunabaki pale pale makombe yote Hali yetu
 
Na mtachucha maana Kila mkiangalia mtakusa mnaona maghirofa mara askari mara barabara

Lzm tuwafunge

Yanga ya makombe
 
Mashabiki wameshaanza kustuka mapema kabisa[emoji23].. Jezi imekataliwa
JamiiForums-2098095794.jpg
 
Hayo masuala ya kiroho siyo kweli ila jezi ya kijani msimu huu ni mbaya sana na itawatia hasara GSM. Msimu ujao Ngowi akae pembeni kidogo au wafanye screening kubwa kabla ya production.
 
Mbona ya mwaka jana jezi zote zilijaa watu/wananchi na hazikuwa nzito?

Acha kuingiza watu chaka we mzee...
 
Mbona ya mwaka jana jezi zote zilijaa watu/wananchi na hazikuwa nzito?

Acha kuingiza watu chaka we mzee...
Labda ni kwakuwa umechangia kwa kusoma heading tu na si maudhui yote.. Am la HUKUELEWA..!
 
Labda ni kwakuwa umechangia kwa kusoma heading tu na si maudhui yote.. Am la HUKUELEWA..!

Nimesoma neno hadi neno, nimeelewa na ndio maana nimekupa reference ya jezi ya msimu uliopita ambayo nayo ilibeba nafsi/roho za watu kwa kielelezo cha jina la wananchi...

Au labda uniambie kuwa wananchi hawana roho...
 
Hayo masuala ya kiroho siyo kweli ila jezi ya kijani msimu huu ni mbaya sana na itawatia hasara GSM. Msimu ujao Ngowi akae pembeni kidogo au wafanye screening kubwa kabla ya production.
Kila jambo la kimwili huanzia rohoni.. Unaweza kuniambia ni kwanini mashabiki wenyewe wa yanga wameikataa jezi yao? Maana tusiishie tu kusema ni mbaya.. Ubaya wake upo kwenye nini? Nitakwambia kitu YALE MAUMBO YANAOGOFYA
JamiiForums-2098095794.jpg

Unaweza kupata tafsiri nyingine ya ajabu sana hapo kuhusu rangi.... Yaani mashabiki wameikataa rangi inayoiwakilisha timu (NJANO) Na rangi inayowakilisha uhai (KIJANI) wamechagua rangi inayowakilisha msiba![emoji848][emoji2827]View attachment 2311607
 
Back
Top Bottom