Jezi ya Yanga ni 'NZITO'

Jezi ya Yanga ni 'NZITO'

Nimesoma neno hadi neno, nimeelewa na ndio maana nimekupa reference ya jezi ya msimu uliopita ambayo nayo ilibeba nafsi/roho za watu kwa kielelezo cha jina la wananchi...

Au labda uniambie kuwa wananchi hawana roho...
Umenena vizuri sana kwamba zimebeba nafsi za watu.. Hapa hakuna shida kabisa kwakuwa hii ni jamii moja, za mwaka huu zina maumbo ya kila aina .. Kwahiyo kuna nguvu hasi na chanya zinapishana humo

Soma tena hapa nilichoandika kwenye mada kuu[emoji1541][emoji1541][emoji1541]


Maumbo pia yana nguvu kubwa sana kiroho, na ndio maana watu huchukua muda mwingi kubuni ama kutumia umbo lenye uhai ama connection na roho.. Hapa sizungumzii uchawi na ushirikina vilabuni.. Ukitaka kujua nguvu ya maumbo tembelea majumba ya maonesho yenye maumbo na picha za vitu mbalimbali na ukae sehemu ya utulivu.. Hisia utakazopata ni tofauti kabisa na hisia utakazopata utakapoingia jumba lisilo na mapichapicha.. Hivi vitu huumba roho..

Michoro hasa yenye kuwakilisha vitu vyenye uhai hii ndio huwa hatari zaidi kama isipochaguliwa kwa umakini mkubwa.. Michoro ya maeneo, viumbe hai na chochote chenye kiasili na uhai imebeba maroho mazuri na mabaya
 
Byuti byuti..!
 
Hayo masuala ya kiroho siyo kweli ila jezi ya kijani msimu huu ni mbaya sana na itawatia hasara GSM. Msimu ujao Ngowi akae pembeni kidogo au wafanye screening kubwa kabla ya production.
Byuti byuti
JamiiForums-249883739.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mshana vipi hiyo jezi ya simba kwenye mambo ya nguvu ichambue kama ulivyoichambua ya utopolo
 
Mshana vipi hiyo jezi ya simba kwenye mambo ya nguvu ichambue kama ulivyoichambua ya utopolo
Pantone, mamlaka ya kimataifa ya rangi, imechagua "Peri halisi" kama rangi ya mwaka wa 2022. Kampuni hiyo inaelezea Peri halisi kama "rangi ya samawati yenye kiini cha urujuani inayong'aa na kuleta tokeo la KUJIAMINI na UTHIBITI .! Tokeo hilo ni nishati hai na msisimko unaosababishwa na rangi NYEKUNDU".

Ili kufikia uteuzi kila mwaka, wataalam wa Pantone huchagua rangi kwa mwaka ujao kwa kuchunguza athari za rangi duniani kote, kutoka sehemu mbalimbali kama vile tasnia ya burudani na filamu katika utayarishaji, mkusanyiko wa sanaa za kusafiri na wasanii wapya, mitindo, vyombo vya nyumbani, maeneo ya kubuni, maeneo maarufu ya kusafiri, pamoja na maisha mapya, michezo ya mbalimbali, hali ya kijamii na kiuchumi. Wanaweza pia kupata msukumo kutoka kwa hafla kubwa zijazo za michezo.
 
Huu uzi mwanzo niliuchukulia poa lakini sasa naanza kuuheshimu.
 
Na zamwaka jana zilikua na michoro ya watu,na hata ramani ya Africa,it means ilibeba vitu vingi vikiwemo hivyo ulivyotaja,na bado wakachukua karibu kila kitu..shida ukishakua mlozi utatilia mashaka kila kitu[emoji23]
1656338233976.jpg
 
Na zamwaka jana zilikua na michoro ya watu,na hata ramani ya Africa,it means ilibeba vitu vingi vikiwemo hivyo ulivyotaja,na bado wakachukua karibu kila kitu..shida ukishakua mlozi utatilia mashaka kila kitu[emoji23]View attachment 2317256
Hebu upe muda wakati maisha hayana formula na hayataki kunakili wala kukariri
 
Back
Top Bottom