Jezi ya Yanga ni 'NZITO'

Hivi kocha anacheza namba ngapi!
Huyo Aziz Ki ili acheze katika ubora wake lazima azungukwe na watu wenye ubora.
Mashabiki hawataki kusikia la mwadhini wala la mnadi swala
Your browser is not able to display this video.
 
Nzito sana......we mpare wa milimani mpira mmechezea wapi huko wakati ukipigiwa shuti kama la azizi ki mpira unashuka mwanga huko chini.........wacongo wamewaweza makolo......jezi nzito hadi mwarabu kashindwa kuona shunti
 

Attachments

  • VID-20221109-WA0087.mp4
    3.5 MB
  • Screenshot_20221110-005403_Samsung Internet.jpg
    35.1 KB · Views: 13
Chant down Babylon
Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • images.jpeg-77.jpg
    42.5 KB · Views: 9
Jezi nzito inaongoza ligi
Soma uelewe basi nilichoandika

Yanga inaweza kuwa na msimu mbaya kuliko mingine yote katika historia yake tangu kuanzishwa kwakwe.. Nimetumia neno INAWEZA kwakuwa bado ina nafasi ya kufanya jambo
 
Nzito sana......we mpare wa milimani mpira mmechezea wapi huko wakati ukipigiwa shuti kama la azizi ki mpira unashuka mwanga huko chini.........wacongo wamewaweza makolo......jezi nzito hadi mwarabu kashindwa kuona shunti
Akili kisoda sasa hizi umesoma maudhui ? Nilichoandika ni hiki hapa

Yanga inaweza kuwa na msimu mbaya kuliko mingine yote katika historia yake tangu kuanzishwa kwakwe.. Nimetumia neno INAWEZA kwakuwa bado ina nafasi ya kufanya jambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…