Jezi za yanga zimehuzunisha sana japokuwa wengi wanazisifia

Jezi za yanga zimehuzunisha sana japokuwa wengi wanazisifia

Gol D Roger

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2023
Posts
2,316
Reaction score
6,082
Jezi za yanga hizi zilizotoka juzi hazina uhalisia kabisa, colour palette ya timu ya yanga ni kijani na njano.
1000410393.png

1000410394.jpg


But hizi jezi mpya sijaelewa kwann wameamua kutumia rangi ambazo sio za yanga
1000410375.jpg

1000410382.jpg


Yanga kuweni serious na brand yenu, hizo rangi hapo juu hazimo kweny official colour palette ya yanga ambazo ni Njano na Kijani.

Picha ya kwanza hapo juu(Home kit aliyovaa mwamba wa lusaka) hio sio kijani yenu, ni kama blue flani mkolezo ambayo haisisimui na kuleta nostalgia feelings za yanga ninayoijua mm.

Picha ya pili(away kit) hapo juu sio njano, hio ni gold, tangia lini gold ni moja kati ya rangi zenu, yang kuweni serious na brand yenu, na rangi ya timu ndio utambulisho wa timu, ni kitu muhimu sana, haswa kweny Home kit, ni muhimu home kit kubeba moja ya rangi zinazowatambulisha.

Jezi ni utambulisho wa timu, rangi pia ni utambulisho wa timu, jezi zinabidi ziwe na rangi zinazotambulisha timu, haswa home kit, sasa home kit ya yanga haina hata colour moja ambayo inayowatambulisha, hata maandishi hapo kifuani ni gold sio njano.

Angalia hata timu za wenzetu, mfano Madrid colour palette yao ni white(mostly), gold and blue, huoni home kit ya madrid misimu yote lazima iwe nyeupe regardless, kwan wao hawaoni rangi zingine?
Mfani mwingine ni Barcelona, colour pallete yao ni Red and blue, home kit zao misimu yote lazima zitakuwa na red na blue, kwani wao hawazioni rangi nyingine.

Home Kit ni jezi ya kuheshimiwa, msichague-chague tuu marangi, tumieni akili.
 
Hii nchi sijui kama kuna profession ambayo kweli inaendeshwa na watu wenye weledi wa kazi zao. Binafsi naona kote tunalipua tu na ukanjanja mwingi.

Madesigner wa hayo majezi wamekutana na wateja na soko ambalo nalo halijui lolote, kwa hiyo bora liende tu. Watakwambia wanaenda na mahitaji ya soko!

Inawezekana huyo Sheria ni color blind, huku watu wanamsifia kuwa ameuaaa! Vunja Bei hadi alikuwa anachanganya shade mbili tofauti za wekundu katika jezi moja.
 
Hii nchi sijui kama kuna profession ambayo kweli inaendeshwa na watu wenye weledi wa kazi zao. Binafsi naona kote tunalipua tu na ukanjanja mwingi.

Madesigner wa hayo majezi wamekutana na wateja na soko ambalo nalo halijui lolote, kwa hiyo bora liende tu. Watakwambia wanaenda na mahitaji ya soko!

Inawezekana huyo Sheria ni color blind, huku watu wanamsifia kuwa ameuaaa! Vunja Bei hadi alikuwa anachanganya shade mbili tofauti za wekundu katika jezi moja.
Mahitaji ya soko😆 😆 😆

wanachekesha sana, yaan una compromise brand ya timu kisa mahitaji ya soko😆😆😆
 
Ifikie wakati mada kama hizi zikome
Unauliza rangi wewe kama nani pale yanga?

Sio shabiki waache mashabiki watanunua wewe unawashwa na kunyevuliwa nyevuliwa huko .

Wao wamekwambia jezi za kimataifa ni za msimu na lazima waende na soko sasa wakitumia njano na kijani inakuwa na tofauti gani na za ligi kuu?
 
Ifikie wakati mada kama hizi zikome
Unauliza rangi wewe kama nani pale yanga?
Kwaio kama uongozi wowote yanga siwez kutoa mchango wangu kweny jukwaa huru?

Hivi we ni mpumbavu eeh??

Najua akili yako ndo imeishia hapo ila utambulisho wa timu ni muhimu zaidi ya hayo mambo uliyozungumzia hapo juu.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
JamiiForums1683832807.jpeg
 
Back
Top Bottom