Jezi zilizokamatwa sio feki ni michezo ya Kariakoo, Sandaland kazidiwa maarifa

Jezi zilizokamatwa sio feki ni michezo ya Kariakoo, Sandaland kazidiwa maarifa

Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.
Wee mwanaizaya kuna wakati unapaswa kuruhumiwa ujue! Kila nikiangalia mada yako unayowaalika wavulana wadogo wakutongoze! Kisha nikiingalia familia yako hapo kigamboni mume wako na wajukuu na vile unavyojifanya mtu wa dini na hekima sana nabaki na kicheko kikubwa cha dharau mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wee mwanaizaya kuna wakati unapaswa kuruhumiwa ujue! Kila nikiangalia mada yako unayowaalika wavulana wadogo wakutongoze! Kisha nikiingalia familia yako hapo kigamboni mume wako na wajukuu na vile unavyojifanya mtu wa dini na hekima sana nabaki na kicheko kikubwa cha dharau mno

Sent using Jamii Forums mobile app
"Kuruhumiwa" ndiyo nini wee poyoyo?
 
Umesema jezi nyingi zinatengenezwa bongo taja kiwanda kimoja uthibitishe kauli yako.. Ukishindwa kauli yangu ni sahihi kwa asilimia 100 WEWE FAIZAFIX ni AJUZA MUONGO ULIYEKOSA HAYA NA AKILI

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui mmeanzia wapi na huyu bibi ila mi nakijua kiwanda kimoja Morogoro kinapakana na iliyokuwa yard ya Layne Drilling wanatengeneza jezi quality ya hali ya juu sana ila nasikia hua ni for export haziuzwi ndani
 
Sijui mmeanzia wapi na huyu bibi ila mi nakijua kiwanda kimoja Morogoro kinapakana na iliyokuwa yard ya Layne Drilling wanatengeneza jezi quality ya hali ya juu sana ila nasikia hua ni for export haziuzwi ndani
Yeye anazungumzia hizi zilizokamatwa kuwa za SIMBA na Yanga.. Kwamba nyingi zinatengenezwa hapa chache ndio zinaagizwa nje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kivumbi kinaendelea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Endeleeni watu tufaidi umbea.

Kumbe niendelee kutembelea mji mwema,siku naweza kumuona huyu Mama akanipa elimu ya dini live.
 
Kumuuzia Nyerere sigara ndio reference yako ya kuzaliwa kwanye biashara za kariakoo??
Pathetic

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Dogo hilo? Kwenye historia kama hukuniandika basi hukutaka ijulikane kama Nerere alikuwa anaburuza fegi.

Nakuonesha kuwa nimezaliwa na kukulia kwenye biashara. Usifikiri zamani duka la sigara linauza sigara tu.

Basi wewe poyoyo hata kustuka kusema vipi Nyerere akanunuwe sigara dukani kwao huyu?
 
Kariakoo ione kama ilivyo tu, watu wa wa kariakoo wana viwanda siyo vya T shirts tu, mpaka vingine havasemeki. Na wenyewe kimya, kama siyo wao.

Nimekwambia hizo za kufyatuliwa China zipo, lakini wajanja washaondoka huko, wanajazana wakuja tu, wajanja wa Kariakoo wana viwanda vyao hapohapo Dar ambavyo huvifikirii wala kuviota na vipo kihalali kabisa.

Labda niwakumbushe kidogo, hivi hamjawahi kusikia sakata la Manji na nguo za jeshi? Mnafikiri lizitoka nje ya Tanzania zile?

Mtajaza wenyewe.
Upo sahih


Vijora na madela kwa asilimia kubwa vinashonwa hapahapa bongo
 
Nyerere nimeshawahi kumuuzia sigara dukani kwetu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kawadanganye ndezi wenzako hapo kwenu! Kigenge cha bazoka ndio unajifanya unajua biashara juha kweli wewe
Mbona husemi kwanini ulipigwa PI Canada na Nyerere akapigilia msumari!?
Unakumbuka kipindi kile ukijifanya uko Canada kumbe umehifadhiwa hapo lumumba mshamba wewe?


Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna mabwakuuuu
 
Back
Top Bottom