cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
jamani haya mabadiliko ya tarehe yanatishia uwezekano wa mimi kuhudhuria,ila vyovyote itakavyokuwa nitakuwa pamoja nanyi ktk maombi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamani haya mabadiliko ya tarehe yanatishia uwezekano wa mimi kuhudhuria,ila vyovyote itakavyokuwa nitakuwa pamoja nanyi ktk maombi.
Kutofika kwako itakuwa furaha kwangu. Sitaki kutenda dhambi. Labda ubadilishe avatar yako.
ungejua zawadi niliyokuwa nimekuandalia hata usingesema.
sasa ngoja nikupe tu zawadi ya maneno, UWE NA A VERY MERRY-XMAS GRANDPA!
jamani haya mabadiliko ya tarehe yanatishia uwezekano wa mimi kuhudhuria,ila vyovyote itakavyokuwa nitakuwa pamoja nanyi ktk maombi.
Naomba tukubaliane kuwa tutakapokutana ni marufuku kufichuana id zetu, maana nahisi kuna uwezekano wa kukutana na watu tunaofahamiana na sitaki yeyote ajue kuwa huyu ndiye Mtu B. Tukikutana tutumie majina halisi, hapo ndipo naona networking itakuwa imetusaidia kufahamiana. Nitajitambulisha jina halisi kwa wenzangu lakini sitasema kuwa mimi ndiye Mtu B. Naomba tuelewane hilo kwanza. Nina sababu zangu za msingi sana.
Tuanze na wewe, mi naitwa Christopher, naishi Tegeta Daslam, nna miaka 48 nna mke na watoto watatu, kila mtoto na mama yake. Wewe waitwa nani, mpendwa?Hilo nalo neno,,tuliwaza hivyo pia nadhani itakuwa vema zaidi kutumia jina halisi badala ya hizi ID.
Kwa ufupi ni vema ID siku hiyo tukaziacha kny keyboard,mtu asiweze kujua huyu ni Mtu B labda apate maono ha ha ha
Cheusi ni maombi yangu kwa Mungu kwamba tusikose uwepo wako lkn vile itakavyokuwa na iwe kheri.Tutakuwa kiroho zaidi
Tuanze na wewe, mi naitwa Christopher, naishi Tegeta Daslam, nna miaka 48 nna mke na watoto watatu, kila mtoto na mama yake. Wewe waitwa nani, mpendwa?
Hilo nalo neno,,tuliwaza hivyo pia nadhani itakuwa vema zaidi kutumia jina halisi badala ya hizi ID.
Kwa ufupi ni vema ID siku hiyo tukaziacha kny keyboard,mtu asiweze kujua huyu ni Mtu B labda apate maono ha ha ha
I know sweetheart,ila bado najaribu kuongea na Jehovah aniwezeshe kuhudhuria,kweli sitaki ku-miss this historical event jamani lkn tarehe zimenikalia vibaya lkn usishangae 'tukiria kitochi kimoja'.
ni wazo zuri sbb nafikiri wengi hawatapenda kureveal ID zao kwa sbb mbalimbali kama hivi alivyosema mtu B,,ila nadhani lisiwe sharti,ili kama mtu anapenda kusema mie naitwa Victoria lkn kwa JF najulikana kama Cheusimangala aweze kufanya hivyo.Nadhani itafurahisha kumjua mtu kwa ID na kwa jina halisi,hivyo ningeshauri wasiopenda kusema ID zao wasiseme ila wanaopenda kutaja na ID zao wawe huru pia kufanya hivyo.Mim binafsi sitaona tatizo kutaja ID yangu ya JF na jina langu halisi.
ni wazo zuri sbb nafikiri wengi hawatapenda kureveal ID zao kwa sbb mbalimbali kama hivi alivyosema mtu B,,ila nadhani lisiwe sharti,ili kama mtu anapenda kusema mie naitwa Victoria lkn kwa JF najulikana kama Cheusimangala aweze kufanya hivyo.Nadhani itafurahisha kumjua mtu kwa ID na kwa jina halisi,hivyo ningeshauri wasiopenda kusema ID zao wasiseme ila wanaopenda kutaja na ID zao wawe huru pia kufanya hivyo.Mim binafsi sitaona tatizo kutaja ID yangu ya JF na jina langu halisi.
ni wazo zuri sbb nafikiri wengi hawatapenda kureveal ID zao kwa sbb mbalimbali kama hivi alivyosema mtu B,,ila nadhani lisiwe sharti,ili kama mtu anapenda kusema mie naitwa Victoria lkn kwa JF najulikana kama Cheusimangala aweze kufanya hivyo.Nadhani itafurahisha kumjua mtu kwa ID na kwa jina halisi,hivyo ningeshauri wasiopenda kusema ID zao wasiseme ila wanaopenda kutaja na ID zao wawe huru pia kufanya hivyo.Mim binafsi sitaona tatizo kutaja ID yangu ya JF na jina langu halisi.
Hivi luv, si tumeshakubaliana usije, na tumeshatakiana krisimasi njema? Nashukuru kukufahamu Victoria.
Cheusie darling, naomba kukuuliza na samahani kama nitakukwaza. Kuna ubaya gani wa kujitambulisha kuwa mimi ndo cheusi na jina langu halisi ni Victoria? Sisi wapwa, watu wa Darisalama JF members, tunafahamiana kwa ID zetu za JF, real names na sehemu tunazoishi na kufanyia kazi. Na hatujawahi kukwazika kwa lolote. Huwezi kuamini hata spouse zetu sasa wanafahamiana? Kwanini mnajificha? Whats a big deal? Nawashangaeni kwakweli.
Nlitangulia kuwaombeni samahani....
Cheusie darling, naomba kukuuliza na samahani kama nitakukwaza. Kuna ubaya gani wa kujitambulisha kuwa mimi ndo cheusi na jina langu halisi ni Victoria? Sisi wapwa, watu wa Darisalama JF members, tunafahamiana kwa ID zetu za JF, real names na sehemu tunazoishi na kufanyia kazi. Na hatujawahi kukwazika kwa lolote. Huwezi kuamini hata spouse zetu sasa wanafahamiana? Kwanini mnajificha? Whats a big deal? Nawashangaeni kwakweli.
Nlitangulia kuwaombeni samahani....
Cheusie darling, naomba kukuuliza na samahani kama nitakukwaza. Kuna ubaya gani wa kujitambulisha kuwa mimi ndo cheusi na jina langu halisi ni Victoria? Sisi wapwa, watu wa Darisalama JF members, tunafahamiana kwa ID zetu za JF, real names na sehemu tunazoishi na kufanyia kazi. Na hatujawahi kukwazika kwa lolote. Huwezi kuamini hata spouse zetu sasa wanafahamiana? Kwanini mnajificha? Whats a big deal? Nawashangaeni kwakweli.
Nlitangulia kuwaombeni samahani....