Jf-arusha wing...safari updates


Christopher......nimeshukuru kukufahamu....mimi naomba nijitambulishe rasmi hata kabla ya safari......kwa jina naitwa Perpetua Sarwat Gwandu......ninaishi Yaeda....ni katibu muhtasi makao makuu ya Yaeda......jamani naomba nisiulizwe tena siku hiyo.....labda kama kuna mtu atakuwa anataka muhtasari wa maendelea ya Yaeda
 


Nimewaelewa wapendwa, nlitangulia kuwaomba radhi. Ila tu mi, ntakuwa hepi nikujua alaaaa, kumbe huyu ndo cheusie, kumbe ndo Victoria tena anafanya kazi eapoti....nna kabinti kangu kamesomea freight end fowading, hebu kafanyie mpamgo hapo. Urafiki, unaendelea, undugu unakua...watu wote semeni AMINA. Nawaleteeni asprin kabla hazijaeksipaya. Kuliko kuzitupa ni bora mzimeze hata kama hamna maumivu. Kwa faida yangu na vizazi vyangu vingi vijavyo.
 

Perpetua endelea kupokea wageni ngoja nifatilie zile shanga za vibuyu terati.
 

Nikikutana na hili jina Gwandu huwa nacheka sanaaa. We acha bana.
 
Perpetua endelea kupokea wageni ngoja nifatilie zile shanga za vibuyu terati.

sawa......halafu mwambie Nasyeku akupe zile zile rangi tulichagua.....ana tabia ya kubadilisha sana yule
 
Wakuu msiniache, mi nimehamia kwa Mromboo kumechangamka mbaya! Weka mimi kwenye hiyo orosa tasafali!
Mkuu, nashukuru sana kuwa umeonekana hapa...Karibu sana, nadhani ushapewa namba ya kuwasiliana nayo, tafwazali mkuu wangu{Orobhaiyan}, tuwasiliane.
 
Kwa hiyo mmekonkludi nini sasa waungwana?
Mkuu, ni kwamba tarehe ya safari ni 27/12...kwa maana hiyo, inaTAKIWA MSAFIRI KUJA aRUSHA tAREHE 26/12, ILI TAREHE 27/12 TUDAMKE KUELEKEA ENEO LA TUKIO...Jumanne(14/12) tuna kikao cha kuweka mambo sawa, na ndipo tutakapowajulisheni maendeleo.
Mkuu, tunaitarajia sana squad ya Dar...Kama inawezekana mkuu, jaribu kutupa hesabu kamili ya watu watakaokuja, ili tujue aina ya usafiri utakaotumika.
Nakusikilizia mkuu wangu.
 
I wish to be there as i resides in monduli.
Kesho hadi tarehe 23/12 nitakuwa magugu.
Mandalizi yanaendaje.
Mkuu, nashukuru sana kwamba umeona hii maneno...Ni kwamba ishu hii inafanyika tarehe 27/12/ 2010..ndiyo siku ya safari, kuanzia alfajiri saa 12.00 asubuhi...
Kwahiyo mkuu hujachelewa hata kidogo, na karibu Sana...Kwa details zaidi ingia PM yako, kuna namna ya mawasiliano.
Tunakutegemea mkuu Shycase.
NASIKITIKA KUWA KWA BINAFSI YAKO ULIAMUA KUCHAGUA KUTOPOKEA PM YOYOTE TOKA KWA MWANAJF YEYOTE, NA HIVYO HATUNA JINSI YA KUKUPA UTARATIBU WA MAWASILIANO.
AKSANTE MKUU.
 
Naunga mkono hii initiative. Mtatupa feedback ya progress. Ngoja wadau wa DSM tuige mfano wenu.
 
jamani haya mabadiliko ya tarehe yanatishia uwezekano wa mimi kuhudhuria,ila vyovyote itakavyokuwa nitakuwa pamoja nanyi ktk maombi.
Cheusi, usianze kutufanya tupate heart attack!...Hivi unajua kwenye utu uzima haitakiwi kushitua wenzako eeh?...Acha utani bana,...nilishakwambia namba yako ya siti ni C3, na kwenye siti ya watu 3 wewe kushoto, Wiselady kulia, katikati MFAMAJI...
 
Mkuu, naomba ondoa shaka kabisa juu ya hilo...Ni kwamba ID hazitatumika kabisa...na hazina nafasi, hapa kilichopo ni kuwa pamoja na kupeana madili, siyo kujua PAKAJIMMY NI YUPI...Kabla hata ya hili wazo lako, tulipanga kutoa hilo kama angalizo namba moja, lakini pia Mkuu wa kaya MAXENCE alitoa ushauri huo kwa msisitizo sana akisema kuwa ID hazina kazi kwenye shughuli zetu..
Hivyo mkuu, we nitumie namba ya simu tu, na mambo mengine yatafuata kwa hekima sana.
 
Mkuu, uko sAwa kabisa...Kwa kuongezea tu ni kwamba nadhani mtu ajisikie huru kwa binafsi yake kutaja au kutotaja ID yake, kutokAna na ANAVYOPIMA MWENYEWE MAHUSIANO YAKE NA JAMII..
Naomba nisiongelee tena jambo hili...
NAWASILISHA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…