Jf-arusha wing...safari updates

Waambie mama ngoja nakuja maana leo kuanzia mida ya saa nane nlikuwa na msala wa kufa mtu nitaurusha nikitulia

mwee mwee mwee....wakina nani wamekufanya nini tena?
 
Uwiiiii hii thread kila niisomapo basi napata munkhari balaa, sasa sijui kama hii mashua yangu itatia nanga kabla ya hiyo tarehe 27/12~Hii kazi ya uvuvi itabidi niiache, inanikosesha mambo hii!.:teeth:
 
Uwiiiii hii thread kila niisomapo basi napata munkhari balaa, sasa sijui kama hii mashua yangu itatia nanga kabla ya hiyo tarehe 27/12~Hii kazi ya uvuvi itabidi niiache, inanikosesha mambo hii!.:teeth:

he he he......unavua eeeh......samaki
 
Mkuu,sema km ni ishu ya hatari ,km vp tukimbie, tuhamishe ile maskani.

Aa wala usijali mtu wangu ni mambo ya kijamii zaidi maana unajua tena tabia za wanjamii ni kujaliana na kusikiliza matatizo ya watu mbalimbali na nimeshairusha ina kichwa cha habari kinachosema ANA MIMBA NA CONDOM IMETUMIKA KWA USAHIHI kaka ni utata mtupu
 

mkuu, ngoma ilipasuka bila wewe kujua, huenda mtambo mkubwa sana mazee,8"???, hiyo lazima i'blow bila we kujua,hasa km bnt mwnyw ni wa njia hii tutakakotembelea!
 
mkuu, ngoma ilipasuka bila wewe kujua, huenda mtambo mkubwa sana mazee,8"???, hiyo lazima i'blow bila we kujua,hasa km bnt mwnyw ni wa njia hii tutakakotembelea!

Inawezekana mwanamke utulivu ni 0
:focus:
 
Inawezekana mwanamke utulivu ni 0
:focus:

Tuna safari ya kwenda porini kuangalia wanyama na wanajf tu wengi tayari tumeshakutana na kupanga mipango mwamko ni mkubwa na timu iko moto wanopenda kujiongeza toeni taarifa ili tuongeze usafiri
 
Tuna safari ya kwenda porini kuangalia wanyama na wanajf tu wengi tayari tumeshakutana na kupanga mipango mwamko ni mkubwa na timu iko moto wanopenda kujiongeza toeni taarifa ili tuongeze usafiri

tutakuwa na longbase kama tisa hivi na zote zinatakiwa zijae....jamani jamani......
 
Yupo na keshashtukizia mpango mzima,,kama vipi tunaweza kuishia sambarai..

Noted,,,,,but for the case of sambarai:nono:

PJ Pope ni nxt from me kny longbase,,,tafadhali pitisha:teeth:
 
Noted,,,,,but for the case of sambarai:nono:

PJ Pope ni nxt from me kny longbase,,,tafadhali pitisha:teeth:

remember, we need not he long base....u know the 'pope mobile'?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…