Mkubwa naondoka na ile 110 Tarehe 23 usiku vipi nikupeitie kuna nafasi ya mtu 1 tuko 3(Sophia na Finest) tayari,
uyo mtoto wacha kabisa nitakuwa naye beneti apo
Preta yeye ni qualified logistishiani hana neno (sema amequalify pia mambo yetu yale mengineee big up)
Hahahaha...ngoja niitafute ile kanda...sijui ile radio kaseti bado inafanya kazi?
Mbali kuuuleee naaaasikiaaa
Malaika waaa mbiiinguni,
Wakiimbaaaa weeengi pia,
Wimbo huo juu mbiiiiinguni.
Glooooooooooo oooooooo ooooooooo riaaaaaa, in excelsis deoooooo!
Keizer Keizer tutaonanana wabaya hayaa!!!.....(hapa hakuna cha kutumia cheo chakoi ili unihukumu):whoo:uyo mtoto wacha kabisa nitakuwa naye beneti apo
Preta yeye ni qualified logistishiani hana neno (sema amequalify pia mambo yetu yale mengineee big up)
Asee yangu ipo bana....
"Wachunga tuambieni
Sababu ya wimbo huo
Mwenye kuimbiwa ni nani
Juu ya nani wimbo huo,
Gloooria in excelsis Deo!
@ Asprin na Kaizer Am very serious tunaondoka 23 usiku saa 10 na mida ya mchana kwa majaaliwa ya Mola tutakutana na PJ na Preta kufinalise mambo. Tunaenda kutia nguvu team yetu ya home town na kunyoosha mapito ya mwenye Nguvu kuliko sisi Maxence /sauti ya mtu aliaye nyikani....
Tayari? Mbona hatukuagana swahiba?....Nataka niangalie logistics za kuthibitisha hili tripu asee.
PJ hebu lete habari ya hali ya hewa huko, kwa sisi tunaotumia tukutuku tutasalimika?
Mkuu,Mkubwa naondoka na ile 110 Tarehe 23 usiku vipi nikupeitie kuna nafasi ya mtu 1 tuko 3(Sophia na Finest) tayari,
Hiyo karibu toka 香港....ishu za mbege kesho mzee.....hebu konfem hiyo safari fasta aisee...nacheki na kina pj leo au kesho.
Hiyo karibu toka 香港....ishu za mbege kesho mzee.....hebu konfem hiyo safari fasta aisee...nacheki na kina pj leo au kesho.
Keizer Keizer tutaonanana wabaya hayaa!!!.....(hapa hakuna cha kutumia cheo chakoi ili unihukumu):whoo:
Mkuu,
Opened doors for you Mkuu!...
U will have made our days!...make it happen guys,mtafikia wapi nataka nimtume Lilyflower aje kuwakeep company!
Mkuu, shindwa mwenyewe,...WL sharti lake ni moja tu ukitaka kuwa nae karibu...Anataka pop-corn!uyo mtoto wacha kabisa nitakuwa naye beneti apo
Preta yeye ni qualified logistishiani hana neno (sema amequalify pia mambo yetu yale mengineee big up)
Hommie mpango wetu wa ku du ze nidfuli "Makuti Moro" kesho upo palepale!! Chonga na Maty kabsaa aje alipe bili!!Asee yangu ipo bana....
"Wachunga tuambieni
Sababu ya wimbo huo
Mwenye kuimbiwa ni nani
Juu ya nani wimbo huo,
Gloooria in excelsis Deo!
Hommie mpango wetu wa ku du ze nidfuli "Makuti Moro" kesho upo palepale!! Chonga na Maty kabsaa aje alipe bili!!
@ Asprin na Kaizer Am very serious tunaondoka 23 usiku saa 10 na mida ya mchana kwa majaaliwa ya Mola tutakutana na PJ na Preta kufinalise mambo. Tunaenda kutia nguvu team yetu ya home town na kunyoosha mapito ya mwenye Nguvu kuliko sisi Maxence /sauti ya mtu aliaye nyikani....
Mkuu, shindwa mwenyewe,...WL sharti lake ni moja tu ukitaka kuwa nae karibu...Anataka pop-corn!
Ukimpa hizo mkuu ni 24/7 unammiliki!
Mkuu, shindwa mwenyewe,...WL sharti lake ni moja tu ukitaka kuwa nae karibu...Anataka pop-corn!
Ukimpa hizo mkuu ni 24/7 unammiliki!