goosh..Dont tell me...but yeye ni rahisi kumdhibiti...anapenda sana kahawa, kwahiyo kazi ya kamati yangu ni kumjazia kwenye mug lake, mara siku imeisha... kwishneySasa hapo ndipo unapokosea sasa, manake huyo mheshimiwa ndo baraa bin baraa. Atakunyakulia kamati nzima. Usije ukasema sikukuonya.
m/kiti ucje uka2wekea hizo grand malt as cold drinks asee hiyo glandi ongesa s mbele mi ndo nakunywaga iandaliweAshaacha mambo hayo Acid...siku hizi ni wa Grand Malt kama mimi!
m/kiti ucje uka2wekea hizo grand malt as cold drinks asee hiyo glandi ongesa s mbele mi ndo nakunywaga iandaliwe
I wish you all the best in your adventure
Turushie picha za simba kwa bluetooth na cc tuenjoy bana!asante sana.....we will have a blast....I swear
Hahaha habari yake Teamo brand!mkuu punguzeni mwendo. shida ya Saharavoice akipata zile teamo-brand anatembea spidi mbaya.
mtajiju....cheusi ndani ya munyumba A-town....tunabamba sana kipande hii.......
Turushie picha za simba kwa bluetooth na cc tuenjoy bana!
Nipo kijijini .....I wish I was informed much earlier.......................................
The good news is ................there is always next time...........................no hassles..................Ruta ana mikwara bana...kuna waliopata habari late kuliko yeye, na wakarespond very positively!