Jf-arusha wing...safari updates

Mkuu Teamo,
Kimsingi ni kwamba, awali, tarehe ile ya kwanza ilikuwa ni too elementary set-up.
Baada ya kujadiliana kirefu na Mkuu Maxence, tumeona tui'shift hadi 27/12.
Naomba hii iwe taarifa kwa umma wa JF NA WOTE WATAKAOPENDELEA KUUNGANA NASI!
Lakini pia nitoe shukrani za pekee kwako wewe Teamo, lakini kwa wanabodi wote walioamua kuungana na Maxence kuja Arusha kufanya jumuiko na sisi.
Mungu awabariki sana, na tutakuwa tukiwapa updates!
 
Nipo nitawapataje?
Mkuu HMethod,
Mbona tuko visible kabisa?
Awali nikushukuru kwa kuonyesha uzalendo.
Hii shughuli mkuuu ipo, inawategemea sana nyie watu wa Arusha kama nguzo kuu ya kupokea ugeni huu mzito..
Naomba tutafutane kwa namba MBAZO UTAZIPATA KWENYE pm SASA HIVI!

vINGINEVYO MKUU, KEEP IN TOUCH
 
Wana, nilikua nje ya forum kwa muda lakini good news ni kwamba PJ TUPO PAMOJA
Mkuu, pamoja sana...Nafurahi kuwa hatimaye umeibuka, maana kweli ulikuwa chimbo la hatari!
Tunakutegemea sana broda kwa hii shughuli, tafadhali tuwasiliane..Nenda PM upate mawasiliano na utujibu.
Vinginevyo...we bank on you!

A-town tuko juu kama kishada.
 
I'm glad tarehe imesogewa looks like I joined JF in gud tym. Am in bila kipingamizi..
 
Lol full mnyongoroto hahaha.. Ntakuwa arachuga after 23rd so ntamiss.. Enjoy urselves

Meneja,
Hujachelewa Maalim.
Ishu inafanyika baada ya xmass, safari kamili ni 27/12/2010.
Hivyo naamini tuko pamoja sana!
PM YAKO INA MAMBO YA ZIADA, stay tuned!
 

Kiongozi,

mbarikiwe sana watu wa Arusha kwa ubunifu huu, nadhani litakuwa ni tukio la kukumbukwa daima.

JF inaingia katika level nyingine kabisa, kutoka kwenye key boards hadi kujumuika pamoja si jambo la kawaida.

Viva JF.
 
Kiongozi,

mbarikiwe sana watu wa Arusha kwa ubunifu huu, nadhani litakuwa ni tukio la kukumbukwa daima.

JF inaingia katika level nyingine kabisa, kutoka kwenye key boards hadi kujumuika pamoja si jambo la kawaida.

Viva JF.
Mwenyekiti,
Thanx alot for yr appreciation.
Tunafurahi pia kuwa wewe ni mmoja kati ya watu wa5 waasisi wa wazo hili, pindi ulipotutembelea A-town.
Ubarikiwe sana, na kwa sala zenututafanikisha!
Safari njema huko Moshi, na naamini jioni tutaonana!
Be good again!
 
Meneja,
Hujachelewa Maalim.
Ishu inafanyika baada ya xmass, safari kamili ni 27/12/2010.
Hivyo naamini tuko pamoja sana!
PM YAKO INA MAMBO YA ZIADA, stay tuned!

asante kaka 2ko pamoja
 

mkuu am speechless.....kitu nitafanya kwanzia sasa ni maombi tu ili wote tuwe na uzima na afya njema tuweze kulifanikisha hili....pamoja sana
 
mkuu am speechless.....kitu nitafanya kwanzia sasa ni maombi tu ili wote tuwe na uzima na afya njema tuweze kulifanikisha hili....pamoja sana




inazidi kunoga .
 
Mimi si mkazi wa Arusha.but nipo mpaka Jan 2011 nnaomba nami niwe kundini so update me
 
Big up to PJ and the Arusha chapter...

meeting another JF member is always a special feeling and I am sure you are going to have a blast!!!!

All the best buddies...:A S crown-1:
 
Mimi si mkazi wa Arusha.but nipo mpaka Jan 2011 nnaomba nami niwe kundini so update me
Mkuu, hapa hatuangalii kama wewe ni mkazi wa Arusha au la. Sifa kuu ya kuungana na sisi ni KUWA MEMBER WA Jamiiforums tu.
Nakutumia sasa hivi PM ya maelezo ya ziada...keep in touch mkuu.
 
Big up to PJ and the Arusha chapter...

meeting another JF member is always a special feeling and I am sure you are going to have a blast!!!!

All the best buddies...:A S crown-1:
Mkuu, wewe unatakiwa kuwepo without failure mkuu...wewe ni mdau muhimu sana mkuu, nadhani ukitoka mwanza unashuka straight A-Town.
We are so anxious to see you guy joining us.
 
Natamani kuwepo ila bado cjajipanga. Mimi ni mwenyeji wa Arusha pia. Wazo zuri sana kwanza chini ya my role model kaka PakaJimmy. Wish u gud
 
Mrina bar angalia usishindwa kurudi nyumbani....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…