Jf-arusha wing...safari updates

Jf-arusha wing...safari updates

ingependeza tuwe tunafanya get together ya wana JF wote mara moja kwa mwaka . sio mbaya wakakaribishwa wana JF wote wenye uwezo wakuja Arusha tuka burudika pamoja . Mungu ibariki JF na watu wake.
Bingwa Bucho,
Unachoongea ni akili tupu, na ndiyo maana tukapata wazo la hivi.
Lkn pia na ieleweke kwmb ktk gathering yetu ya 27th itakuwa pia ni PLATFORM kubwa sana ya kupendekeza mambo yetu ya kutuweka pamoja zaidi. so mkuu kusanya hoja zako mradi ziwe na mashiko.
 
Kaka, u mzima lakini?
Right now we are speaking business, kama unafanya booking fanya mapema, ndipo utaingia kwa mawasiliano ya personal na Preta!...Vinginevyo nafasi zitajaa, uanze tena kulalamika.

Miye mzima afande. Ila mbona umekuwa mkali hivyo au nimeingilia himaya yako?
 
Bingwa Bucho,
Unachoongea ni akili tupu, na ndiyo maana tukapata wazo la hivi.
Lkn pia na ieleweke kwmb ktk gathering yetu ya 27th itakuwa pia ni PLATFORM kubwa sana ya kupendekeza mambo yetu ya kutuweka pamoja zaidi. so mkuu kusanya hoja zako mradi ziwe na mashiko.




kweli kaka . tuombe mungu atupe uzima ndio cha msingi.
 
Ooh Cheusimangala,
Itakuwa raha ya ajabu sn kuwa na wewe, na wengi huwa wanakuita 'dream-lady, maana huwa kukuona ni kama ndoto.
Nimeshakuingiza kwenye table tayari, na sasa ingia PM Unitumie nambari yako for comm purpose!

ni kweli itakua raha kukutana,sikujua kuwa naitwa dream-lady,nafurahi kujua hilo,i hope ntaendelea kuitwa dream-lady hata baada ya kuonekana.
Basi wapendwa wote waliodhani mie kuonekana ni ndoto wasijali maana nitaonekana live bila chenga maeneo hayo ya AR.
 
Pakajimmy plz ur idea is value wise... Add me npo ARS pia!
 
kwa tarehe 27 nina 90% ya kuwepo, let me pull all strings.

pj, i will get in touch soon...best idea so far.
 
yah!....
MORE UPDATES FROM MEMBERS KUTOKA DAR:

tulio wengi likizo zetu zitaanza tar 23 na kuendelea......!mkakati wa chini chini umeshaanza na kinachofikiriwa kwa sasa ni ku-fainalize makubaliano kwamba tunaendaje (kwenye hili tupo tayari na tumeridhia kuungana na mkuu wa kaya,kwa kuwa ameandoka kwamba anaweza kudrive,na ku-avoid unnecessary expenses ni vyema tukawa na gari moja......).

Tunasubiri watu wawili watatu ambao wapo nje ya dar kwa sababu za ki-majukumu then tutatoa kauli ya pamoja ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na mkuu wa kaya.

USHAURI BINAFSI:sikukuu zimekuwa zikiambatana na wanafamilia kukaa pamoja aidha kuwa na burudani fananishi au kitu kingine tofauti....!according to me,nilidhani kwamba iwe kati ya tar 27 hadi tar 30 december ili kupisha nafasi kwa ajili ya mtu mmoja mmoja na familia yake kwenye hivi visikukuu

NAWASILISHA
 
yah!....
MORE UPDATES FROM MEMBERS KUTOKA DAR:

tulio wengi likizo zetu zitaanza tar 23 na kuendelea......!mkakati wa chini chini umeshaanza na kinachofikiriwa kwa sasa ni ku-fainalize makubaliano kwamba tunaendaje (kwenye hili tupo tayari na tumeridhia kuungana na mkuu wa kaya,kwa kuwa ameandoka kwamba anaweza kudrive,na ku-avoid unnecessary expenses ni vyema tukawa na gari moja......).

Tunasubiri watu wawili watatu ambao wapo nje ya dar kwa sababu za ki-majukumu then tutatoa kauli ya pamoja ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na mkuu wa kaya.

USHAURI BINAFSI:sikukuu zimekuwa zikiambatana na wanafamilia kukaa pamoja aidha kuwa na burudani fananishi au kitu kingine tofauti....!according to me,nilidhani kwamba iwe kati ya tar 27 hadi tar 30 december ili kupisha nafasi kwa ajili ya mtu mmoja mmoja na familia yake kwenye hivi visikukuu

NAWASILISHA
The King, hii imetulia!! We are on the move!!
 
yah!....
MORE UPDATES FROM MEMBERS KUTOKA DAR:

tulio wengi likizo zetu zitaanza tar 23 na kuendelea......!mkakati wa chini chini umeshaanza na kinachofikiriwa kwa sasa ni ku-fainalize makubaliano kwamba tunaendaje (kwenye hili tupo tayari na tumeridhia kuungana na mkuu wa kaya,kwa kuwa ameandoka kwamba anaweza kudrive,na ku-avoid unnecessary expenses ni vyema tukawa na gari moja......).

Tunasubiri watu wawili watatu ambao wapo nje ya dar kwa sababu za ki-majukumu then tutatoa kauli ya pamoja ikiwa ni pamoja na kuwasiliana na mkuu wa kaya.

USHAURI BINAFSI:sikukuu zimekuwa zikiambatana na wanafamilia kukaa pamoja aidha kuwa na burudani fananishi au kitu kingine tofauti....!according to me,nilidhani kwamba iwe kati ya tar 27 hadi tar 30 december ili kupisha nafasi kwa ajili ya mtu mmoja mmoja na familia yake kwenye hivi visikukuu

NAWASILISHA

I can imagine how fabulous will be! Mungu apishilie mbali vikwazo vya aina yoyote.Inafurahisha sana kwa wapendwa wa Dar na kwingineko kuweza kutuunga mkono!God bless JF
 
Wana, nilikua nje ya forum kwa muda lakini good news ni kwamba PJ TUPO PAMOJA
 
I can imagine how fabulous will be! Mungu apishilie mbali vikwazo vya aina yoyote.Inafurahisha sana kwa wapendwa wa Dar na kwingineko kuweza kutuunga mkono!God bless JF
yah!ONE LOVE
 
Pakajimmy plz ur idea is value wise... Add me npo ARS pia!
Baba Ubaya, heshimakwako broda.
Ni furaha kubwa kuwa umerespond kwenye jumuiko hili litakalokuwa la kihistoria..
Karibu sana, na kinachofuata baada ya hapa utakipata kwenye PM, TAFADHALI USIACHE KUFUNGUA pm MARA USOMAPO HAPA.
Be connected mkuu.
 
kwa tarehe 27 nina 90% ya kuwepo, let me pull all strings.

pj, i will get in touch soon...best idea so far.
mKUU, karibu sana...
Yaani jinsi tunavyoona responce nzuri tunafarijika sana mkuu wangu..
Plz once you are 100% sure then confirm in total
We remain in touch.
Check wit your PM PLZ!
 
na kwa kuwafahamisha tu, wakati tunarudi tutapitia Yaeda muwasalimie ndugu zangu,jamaa na majirani....nimekuwa nikiwasimulia habari zenu wana JF wakapata shauku ya kuwaona, kwa hiyo tutakula asali kwa wingi na wale wanaotumia nyanyi roho zenu zitasuuzwa....karibuni sana

Lol full mnyongoroto hahaha.. Ntakuwa arachuga after 23rd so ntamiss.. Enjoy urselves
 
Back
Top Bottom