Jf-arusha wing...safari updates

Jf-arusha wing...safari updates

Hommie huo uko pale pale,,,, Maty sina mawasiliano yake kwa sasa Ngoja nimwombe Asprin maane ndo alipokea mchango wake nahisi faili halijaika mezani kwangu amwombe atupokee pale makuti mida ya saa nne hivi Mungu jaalia...

Hommie unaanza kutoa siri za chama....Wapi collective agreement hapo?
 
Mkuu, shindwa mwenyewe,...WL sharti lake ni moja tu ukitaka kuwa nae karibu...Anataka pop-corn!
Ukimpa hizo mkuu ni 24/7 unammiliki!
Mkuu PJ naona umeanza mambo ya Weakleaks sasa haya bana!!:bump:
 
Hommie unaanza kutoa siri za chama....Wapi collective agreement hapo?

hahahahahaha....Kimey si angependa mapokezi hommie sasa wasi wasi uko wapi siri nyengine ziko intact kama kawaida......
 
Hakuna anayebisha, ndo maana nataka PJ aniambie hali ya hewa ikoje kule....Asprin is always there for Surprise.... Hebu ngoja nimkumbuke marehebu bibi yangu Mamshanga (RIP my dear wifey)

Mwokosi kasaliiiiwa, twimbe haleluyaaaa,
Mtukufu masiiiya twimbe haleluyaa,
Tumtukuse tumwimbie tumfanyie shangwe,
Mkombosi masiya leo amesaliwaaaaa,
Haleluya, haleluya haleluyaaaaa

(Hapo akiwa anapasi nguo zake mpya za kwenda misa ya kwanza)

Patia kaizer kaseti ya huu wimbo utatuburudisha sana njiani,,:teeth:
 
Nguli kweli upo serious?

Basi tenda kama ulivyo nena
Fidel vp mambo?
Wewe vp mkuu, ...unga tela bana!
Jana tulikuwa mahali na C/Mangala..anasema unampagawishaga mzee!
 
Hommie unaanza kutoa siri za chama....Wapi collective agreement hapo?
hommie hebu PM number bana acha longolongo bili ya pale bila msaada itakua ngumu mimi na Pope kuimaliza!
 
Mkuu PJ naona umeanza mambo ya Weakleaks sasa haya bana!!:bump:
Hii si wIKILeaks mkuu..ni live...pamoja na yote niliyoongea lakini mimi nakutambua wewe tu kuwa ndiye naniliu halali!...hawa wengine wanateseka!
 
Hapa muda si mrefu nitaingia jikoni kuzitengeneza.....sema kuna vyengine navijua hajakupaga siri tu maana hawezi kusema yote mkuu...Pamoja sana yaani....

Usisahau na korosho eeh
 
Hakuna anayebisha, ndo maana nataka PJ aniambie hali ya hewa ikoje kule....Asprin is always there for Surprise.... Hebu ngoja nimkumbuke marehebu bibi yangu Mamshanga (RIP my dear wifey)

Mwokosi kasaliiiiwa, twimbe haleluyaaaa,
Mtukufu masiiiya twimbe haleluyaa,
Tumtukuse tumwimbie tumfanyie shangwe,
Mkombosi masiya leo amesaliwaaaaa,
Haleluya, haleluya haleluyaaaaa

(Hapo akiwa anapasi nguo zake mpya za kwenda misa ya kwanza)
Du..Mkuu hii ni taarifa ya kiintelijensia!...
Usifowadi muda bana...utaacha tushindwe kazi tuanze kufanaya mazoezi na Preta!!
 
Back
Top Bottom