Jf awards (nominees)

Jf awards (nominees)

Kauli yako kwamba ungekuwa mwanaume usingeoa. Nikakuuliza kwanini? Ukasepa 😎
Tatizo nilikuwa nishajibu pale kama ID tatu hivi za hilo swali kwanini
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Loh!
Kama kajua mbona naona aibu aseee

Niombee basi siku ingine apitilize hadi PM kwangu [emoji852][emoji45]
Duh hv kumbe kuzimikiwa bado kuna exist etiii?

Aisee kweli wa mbili havai moja.Hongera mkuu tena shikilia hapohapo usiachie.
 
Bandugu niwatakie heri ya pasaka..kwa wale wa baa, lounge, club tutakutana usiku.

Tuanzisheni tuzo za jf mshindi atashinda kutokana na mchango wake kwenye jukwaa husika, na aina ya michango yake, nyuzi zake zinahusu nini!
Kura zitapigwa na wana jf wenyewe hapa hapa!

1:mwanamichezo bora
-Okwi boban sunzu.
-Ndumbula ndema
-king ngwaba
-Don crelicuzio(huyu jina lake gumu)
-gentamycim (mwite popoma tu)

2-mchangamsha genge bora
-zero IQ
-Demiss
-ndege John

3-jukwaa la celebrity (wambeya bora)
-Warumi
-hance mtanashati
-Numbisa
-Raynavaro
-msaga sumu

4-jukwaa la chini
-msafwa
-castr
-bugeraha
-jestikila

5-jukwaa la siasa
-britanicca
-paschall mayala
-jinga lao
-malcom lumumba

6 jukwaa la mahusiano
-cute love
-mama Debora
-mrs mol

7 jukwaa la Tech &science
-chief mkwawa
(anayetaka kumchalenge aje)

8 mwana jf mpole
-mshana jr
-Paschal mayala
-khantwe
-lucas Mobutu
-madam s
-sky eclat

9 sangoma bora
-mshana jr
-Likud
-mzizi mkavu

10 bishoo wa jf
-fundi bishoo
-beira Boy
-prince mikazo
-pancho Boy (kujikubali muhimu) [emoji23]

Wengine mnaruhusiwa kuongezea.

Kura zinaaanza kupigwa mwisho ni Leo saa sita usiku.
Washindi watatangazwa hapa baada ya kura kuhesabiwa..

That's how we do
1-Okwi

2-Zero iQ

3-Warumi

4-castr (anaesbo sjui,sjui kwa nn kakosa kua nominated)

5-paschal mayala

6-yyte tu,maana hta kua kwnye mahusiano sipo

7-chief mkwawa (akipita hapa nna ka swali,anapajua kikombwe)

8-paschal mayala (angalia anavyowajibugi wanao mmisquote,very kind

9-mshana,kna jamaa wa astro projection u esahau kum nominated

10-mabishoo watajipigia kura #teamMarioo[emoji23].

Personal award nampa dada mmoja hv,km ni serikali,minister without portfolio nampa Numbisa
 
Kwann lakini nimekua nakutag sikuoni napokua nahitaji busara zako(kwa ukali Sana) [emoji20][emoji20]
Jamani sipati notification si unaijua jf yetu nisamehe bure

Heri ya pasaka kaka angu unaendeleaje lakini
 
Jamani sipati notification si unaijua jf yetu nisamehe bure

Heri ya pasaka kaka angu unaendeleaje lakini
Nili mswanu kwakwel kam wasemavyo wagogo.. [emoji23][emoji23]
Heri na kwenu pia. Tusherehekee kumbukizi ya kufufuka kwa Bwana wetu [emoji5][emoji5][emoji5]
 
Back
Top Bottom