MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Siku hizi mitandaoni hata JF kumekuwa na posts na comments nyingi sana za chuki. Single Mama na waalimu wamekuwa wahanga wakuu wa hizi chuki. Pamoja na wingi wa watu wenye roho mbaya ila bado wapo wachache wema. Kuna watu wako tayari kukusaidia bila kukujua wala kutaka chochote kitu kutoka kwako.
Kwa mamlaka niliyojipa nimeamua kumtambua ndugu Kalaga Baho Nongwa kuwa ni mtu mwema anayependa kuona watu wanapiga hatua. Kupitia uzi wake wa machimbo ya Kkoo nimepata contacts ambazo zimenisaidia kuokoa hadi 20% ya bajeti yangu. Machimbo anayotoa Kalaga Baho ni ya ukweli kabisa. Kikubwa hata watu wake anaowa-recommend ni waaminifu na wanatoa huduma iliyonyooka kama rula. MUNGU MBARIKI KALAGA BAHO... AMEN. Tuige mfano wake.
Ninatambua pia uwepo wa watu wema wengine kama Lucas Mwashambwa & Ephen, bibi Faiza, Tlaatlaah, USSR, Magonjwa mtambuka, bia yetu.
Kwa mamlaka niliyojipa nimeamua kumtambua ndugu Kalaga Baho Nongwa kuwa ni mtu mwema anayependa kuona watu wanapiga hatua. Kupitia uzi wake wa machimbo ya Kkoo nimepata contacts ambazo zimenisaidia kuokoa hadi 20% ya bajeti yangu. Machimbo anayotoa Kalaga Baho ni ya ukweli kabisa. Kikubwa hata watu wake anaowa-recommend ni waaminifu na wanatoa huduma iliyonyooka kama rula. MUNGU MBARIKI KALAGA BAHO... AMEN. Tuige mfano wake.
Ninatambua pia uwepo wa watu wema wengine kama Lucas Mwashambwa & Ephen, bibi Faiza, Tlaatlaah, USSR, Magonjwa mtambuka, bia yetu.