JF bado ina watu wema. Ndugu Kalaga Baho ni miongoni mwao.

JF bado ina watu wema. Ndugu Kalaga Baho ni miongoni mwao.

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Siku hizi mitandaoni hata JF kumekuwa na posts na comments nyingi sana za chuki. Single Mama na waalimu wamekuwa wahanga wakuu wa hizi chuki. Pamoja na wingi wa watu wenye roho mbaya ila bado wapo wachache wema. Kuna watu wako tayari kukusaidia bila kukujua wala kutaka chochote kitu kutoka kwako.

Kwa mamlaka niliyojipa nimeamua kumtambua ndugu Kalaga Baho Nongwa kuwa ni mtu mwema anayependa kuona watu wanapiga hatua. Kupitia uzi wake wa machimbo ya Kkoo nimepata contacts ambazo zimenisaidia kuokoa hadi 20% ya bajeti yangu. Machimbo anayotoa Kalaga Baho ni ya ukweli kabisa. Kikubwa hata watu wake anaowa-recommend ni waaminifu na wanatoa huduma iliyonyooka kama rula. MUNGU MBARIKI KALAGA BAHO... AMEN. Tuige mfano wake.

Ninatambua pia uwepo wa watu wema wengine kama Lucas Mwashambwa & Ephen, bibi Faiza, Tlaatlaah, USSR, Magonjwa mtambuka, bia yetu.
 
humu tupo wote Mkuu, visilani tupo, wasiojulikana wapo, wenye chuki tupo, wenye roho kama unazopenda wewe wapo wengi mno, zali lako tu, Mimi pia huu mtandao umenisaidia sana ktk kujitafta, japo sikutoa shukrani za moja kwa moja sababu mimi nawakubali wote, wenye roho nzuri na mbaya mi napita tu na idea zao nikiona itanisaidia ktk hustle zangu.
 
Siku hizi mitandaoni hata JF kumekuwa na posts na comments nyingi sana za chuki. Single Mama na waalimu wamekuwa wahanga wakuu wa hizi chuki. Pamoja na wingi wa watu wenye roho mbaya ila bado wapo wachache wema. Kuna watu wako tayari kukusaidia bila kukujua wala kutaka chochote kitu kutoka kwako.

Kwa mamlaka niliyojipa nimeamua kumtambua ndugu Kalaga Baho Nongwa kuwa ni mtu mwema anayependa kuona watu wanapiga hatua. Kupitia uzi wake wa machimbo ya Kkoo nimepata contacts ambazo zimenisaidia kuokoa hadi 20% ya bajeti yangu. Machimbo anayotoa Kalaga Baho ni ya ukweli kabisa. Kikubwa hata watu wake anaowa-recommend ni waaminifu na wanatoa huduma iliyonyooka kama rula. MUNGU MBARIKI KALAGA BAHO... AMEN. Tuige mfano wake.

Ninatambua pia uwepo wa watu wema wengine kama Lucas Mwashambwa & Ephen, bibi Faiza, Tlaatlaah, USSR, Magonjwa mtambuka, bia yetu.
Shukrani mkuu tuko pamoja
 
Siku hizi mitandaoni hata JF kumekuwa na posts na comments nyingi sana za chuki. Single Mama na waalimu wamekuwa wahanga wakuu wa hizi chuki. Pamoja na wingi wa watu wenye roho mbaya ila bado wapo wachache wema. Kuna watu wako tayari kukusaidia bila kukujua wala kutaka chochote kitu kutoka kwako.

Kwa mamlaka niliyojipa nimeamua kumtambua ndugu Kalaga Baho Nongwa kuwa ni mtu mwema anayependa kuona watu wanapiga hatua. Kupitia uzi wake wa machimbo ya Kkoo nimepata contacts ambazo zimenisaidia kuokoa hadi 20% ya bajeti yangu. Machimbo anayotoa Kalaga Baho ni ya ukweli kabisa. Kikubwa hata watu wake anaowa-recommend ni waaminifu na wanatoa huduma iliyonyooka kama rula. MUNGU MBARIKI KALAGA BAHO... AMEN. Tuige mfano wake.

Ninatambua pia uwepo wa watu wema wengine kama Lucas Mwashambwa & Ephen, bibi Faiza, Tlaatlaah, USSR, Magonjwa mtambuka, bia yetu.
Na Rarraa Reree...!
 
Back
Top Bottom