Kwanini hawakusema sasa?hamkuwahi kujua server zinajaa...??π
mi nawazoom tu!
Hadii hii wamefuta basi huyu mod aliyefuta hii ni mwanetu wa Simba SC π€£ππππBoka anajuaπ
π€£ππππ
Duh kumbeee π€£ππhamkuwahi kujua server zinajaa...??π
mi nawazoom tu!
Au leo wana kisirani?π€Nilijua tu watakujaga kufuta π€£ππ Hawa wanetu Leo kule kwenye series naweka link nashangaa mzigo umepigwa shwaaaa
ππ€£π€£π€£π€£ππ Ila seva za jf hazipo bongo zipo marekani mkuumuwe mnakipimo sio kizazi hichi mnaweka tu!..π
Unataka kusema hawana mzigo wa kutosha?π€muwe mnakipimo sio kizazi hichi mnaweka tu!..π
Tatizo ni mashabiki wa Simba SC Lia Lia hao π€£πAu leo wana kisirani?π€
Kuna kipindi wanetu seva zao zilidukuliwa sijui mwaka Gani ulee aloo ilikuwa balaaUnataka kusema hawana mzigo wa kutosha?π€
Unamaanisha hawana mtaji wa kutosha?π€zipo Germany hata kama hazipo huku ndo unafikiri hazijai si na wao wanalipia..
NihadithieπKuna kipindi wanetu seva zao zilidukuliwa sijui mwaka Gani ulee aloo ilikuwa balaa
Basi bosi melo angerudisha ule utaratibu wa kuchangia aiseee kama zamani yaani Dunia ya sasa seva zinajaaje hovyo ππ€£ππzipo Germany hata kama hazipo huku ndo unafikiri hazijai si na wao wanalipia..