Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwani kua bonge ni ulemavu?🤔we kibonge unaweza kuniacha nipumue kidogo na mrembo wangu unanibanabana!
Kajifunze kwanza kuandikaephen.... haya fanya unachotaka si upendi mi nipate mchumba haya vuruga!
Wangekuona tu ,unadanganya watu humu😁😁😂😂😂😂😂😂🙌 yaani kua kibonge imekua topic kwelikwelii☺️
Mimi ni kibonge bhana😉Wangekuona tu ,unadanganya watu humu😁😁
Naomba uende nibaki ni min ake☺️mh! wivu tu
Mimi sio kuhadi aisee🤔mwambie aaliyyah nampenda namuhitaji!
Sasa mimi nina mchumba gani 🤔sio kuhadi ni kuadi lione kazi kufukuza wachumba wa wenzako tu ila we kuwa na mchumba aaaahh!
Weuweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee....!😂😂😂🤸🤸🤸🤸🤸🤣🤣🤣huyo min me si ndo naniliu wako