Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na staha nikunde mwenyewe..!na staha nikunde..? kuchamba wenzako tu kutoa namba aaaahh!
Utakuwa unapenda ugali km mm 😃japo wali nakula yaaan mchele wa June mwishoni kilo 10 nikagawa 3 hizo sita had Leo hazijaisha zimebaki km kilo mbili hivi 😃😃😃Yeah nipikie nguna! Wali sijui kwanini unanishinda kula
Sawa mwenye nyumbasawa tuliza komwe usiniharibie asali nataka kulina!
Kumbe ephen ana komwe 🤣🤣sawa tuliza komwe usiniharibie asali nataka kulina!
Mimi kwa mwaka wali nakula haizidi mara 10Utakuwa unapenda ugali km mm 😃japo wali nakula yaaan mchele wa June mwishoni kilo 10 nikagawa 3 hizo sita had Leo hazijaisha zimebaki km kilo mbili hivi 😃😃😃
Yaani humu nabaki kucheka kila umbo ninalo mimi😂🙌Kumbe ephen ana komwe 🤣🤣
Ni vizuri mm kwetu pekeyangu ndo sipend wali mamaang hata ale kutwa mara Tatu😃Mimi kwa mwaka wali nakula haizidi mara 10
Csta angu anapenda wali, mimi na mama ugali sasa nilikua nikigombana na csta naenda kwa mama namwambia tupike ugali dagaa na bamia vyote csta angu haliNi vizuri mm kwetu pekeyangu ndo sipend wali mamaang hata ale kutwa mara Tatu😃
Mdogowangu zamani tukipika ugali jioni alikuwa analia 🤣🤣🤣
nikubali kwanza naahidi nitakuwa pepo yako ya duniani no stress,ukiomba pesa ni cash,ukitaka na mimba fresh!. nitakula hiyo nyamnyam bila dhamana wala kesi!Andika kwanza vizuri. Nikuoe sio nikuwowe 😃
Alafu mpenz Wang na laaziz Lina maana moja 😃
Suala la kula inategemea na Hela inayoachwa mezani
🤣🤣🤣🤣Hatari sana Huwa wanakera sana ikifika jioni utasikia Leo vipi Sasa cista akija kwangu namwambiaga kupangiwa sitaki utakula ulichokikuta 🤣🤣🤣Csta angu anapenda wali, mimi na mama ugali sasa nilikua nikigombana na csta naenda kwa mama namwambia tupike ugali dagaa na bamia vyote csta angu hali
Basi ataanza kulia😂😂
Wacha wee 😃nikubali kwanza naahidi nitakuwa pepo yako ya duniani no stress,ukiomba pesa ni cash,ukitaka na mimba fresh!. nitakula hiyo nyamnyam bila dhamana wala kesi!