JF Chat: All members chat

JF Chat: All members chat

Hadi hapo ww muongo, sasa hayo tuachane nayo mapenzi ya Julieh & Romeo. Turudi huku kwenye nature yetu wamatumbi, “Babe gesi imeisha” [emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndo maana ake, pesa mbelee km tai. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa ni kupewa bill mpk ya supu ya mbwa wangu, sijui Mbaga atamudu? 😂😂😂
Na mshahara wa dada wa mwezi huu ni juu yake, sitaki kusikia sina pesa.
 
Back
Top Bottom