Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeanza lini kunipenda? Na kipi kilichokuvutia na kukusukuma mpk ukanipenda kiasi hiko??Nakupenda sana ww mwanamke, kuna wakati nakuwaza mpaka nahisi kuwa kama chizi
Muombe hela akimbie.....Umeanza lini kunipenda? Na kipi kilichokuvutia na kukusukuma mpk ukanipenda kiasi hiko??
Sis Eve ushamshtua 😂😂😂Muombe hela akimbie.....
Kama unaona pesa n muhimu sana kwenye mahusiano yetu bc njoo nazoSis Eve ushamshtua 😂😂😂
Nilitaka aingie kwenye mfumo kwanza nimmalize ngebe zote. Basi tenaaaahh.!!
Nmekupenda tangu siku ya kwanza kuona comment yako 😎Umeanza lini kunipenda? Na kipi kilichokuvutia na kukusukuma mpk ukanipenda kiasi hiko??
Unataka maubuyuu gani uduguu ake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimefika uduguu wangu haya nipe maubuyu hafu nikuchekeshe [emoji23][emoji23][emoji23]
Bila pesa hakuna mapenzi ni kutesana na kudanganyaKama unaona pesa n muhimu sana kwenye mahusiano yetu bc njoo nazo
Mpe hela sasa aongeze comments ziwe nyingiNmekupenda tangu siku ya kwanza kuona comment yako 😎
Bi harusi machepele 😹Unamkumbuka yule aliyeachwa kabla ya harusi kwa sababu ety ya nuksi za wanaJF, sasa babe wangu Lamomy nae hy nuksi itampata mana nyie vigagula wa JF mnawanga sana.
Comment ilikuwa inahusu nini? Na ilikugusa kitu gani kilichokuvutia?Nmekupenda tangu siku ya kwanza kuona comment yako 😎
Ewaaaaahh 😂😂😂😂Mpe hela sasa aongeze comments ziwe nyingi
Wa kuhusu boss la dp world, halafu jana nilimuona sehemu 😂😂😂Unataka maubuyuu gani uduguu ake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unawashirikisha vigagula akina Evelyn Salt unategemea nn 😂😂😂😂 Acha hizo wewe
Yani anaforce wakati pesa hana 😂😂😂Uduguu nimechekaa had baas.
Sawa ila twende ado ado sasaBila pesa hakuna mapenzi ni kutesana na kudanganya