JF Chat: All members chat

Hadi hapo ww muongo, sasa hayo tuachane nayo mapenzi ya Julieh & Romeo. Turudi huku kwenye nature yetu wamatumbi, β€œBabe gesi imeisha” [emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndo maana ake, pesa mbelee km tai. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa ni kupewa bill mpk ya supu ya mbwa wangu, sijui Mbaga atamudu? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na mshahara wa dada wa mwezi huu ni juu yake, sitaki kusikia sina pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…