Wacha kiumane tuKama umeamua mbwai basi na mbwai iwe mbwai, kitaumana tu.π
Acha tu brother!Nini shida mkuu..?
Salama habari mremboZasaizi [emoji2320]
Nimeshakuwishi kule juu..futa basi blazaπ Wish me first ndo nifute..
Pole sana ...Mpaka sasa hivi sijui hata kwa nini tunaishi yaan!!
Aisee kwani yule mzee kipara alikutosa..?[emoji28]
Nini kilikupata tena..kijana mkorofi wewe jamani kha?Najuta kuwa na dada mkorofi kiasi hichi!.. hata hivyo acha nikubali tu ndo dada huyo..π
Sis Nina ka stori ka weekend iliyoisha nilikiumanisha kinyama!