Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Wewe una rangi nzuri kama ya BeyonceThubutuuu...!ππ€Έ Rangi yangu vincenzor anaijua
Huu uzi haunifai tena, KwaheriniπWewe una rangi nzuri kama ya Beyonce
π€£ππ Unaenda wapi TenaHuu uzi haunifai tena, Kwaheriniπ
π€£ππNjoo kigamboni basiUmenifukuza, min -me tutakutana mitaa mingine! huyu kanifukuza humu
Nini kimetokea?
Kuna nini tena BL? Unataka kuchomoa betri?
Hawa mods kuna kitu wanafanya. Nenda kwenye ule uzi wa Popoma kuhusu wanawake. Kaangalie lile litaahira lilivyotuquoteKuna nini tena BL? Unataka kuchomoa betri?
NimerudiKwa nini unakimbia
Kashafika π€£π
Katukana?Hawa mods kuna kitu wanafanya. Nenda kwenye ule uzi wa Popoma kuhusu wanawake. Kaangalie lile litaahira lilivyotuquote
Sasa mods wanahusika vipi?Hawa mods kuna kitu wanafanya. Nenda kwenye ule uzi wa Popoma kuhusu wanawake. Kaangalie lile litaahira lilivyotuquote
Why wanatoaa Ban kwa watu hata hawasumbui wengine na wanamuacha. Usichojua dear anatumwa huyo. Miye naelewa kila kitu. Wee acha nitamnyoosha.Sasa mods wanahusika vipi?
Yule mwanzoni nilikua nampotezea lakini tokea nigundue anApenda shari nampa anachokitaka nguvu zinamuisha
Mitandao isikufanye unune, mtupie ignore list kama anakukera
Mm npo vzr kbs! Wanasemaje hapo nyumbanituSana tu,, vipi wewe
Kama unaelewa kila kitu sawa, mimi sijui vitu vingi humuWhy wanatia Ban kwa watu hata hawasumbui wengine na wanamuacha. Usichojua dear anatumwa huyo. Miye naelewa kila kitu. Wee acha nitamnyoosha.
πππ Kwaio mi nakaa porini kule sioMm npo vzr kbs! Wanasemaje hapo nyumbanitu